Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,908
- 32,312
Shule za kata at work...Kama ni uhuru taarifa niya Kichina teyari
Shule za kata at work...Kama ni uhuru taarifa niya Kichina teyari
Lema anatuaibisha wanachadema wa Arusha..
Afadhali wamiliki wa vyombo vya usafiri wameliona hilo.
Shule za kata at work...
Nasikia kakimbia anatafutwa na polisi, ushauri wangu kwa huyu diwani kwa nini asimfuate Lema mahabusu au yeye anaogopa Jela?Mkuu thatha.
Hapa Godbless Lema hausiki na hizi jitihada za mgomo tumtendee haki wahusika wakuu ni Nanyaro diwani wa Levolosi na kikundi chake cha wahuni ndiyo wahusika wakuu.Lema alikuwa uwanja wa ndege akiongoza ndege na kufungua matawi kwa wingi ahaaaaa.
Nasikia kakimbia anatafutwa na polisi, ushauri wangu kwa huyu diwani kwa nini asimfuate Lema mahabusu au yeye anaogopa Jela?
Shule za kata at work...Ndicho ulichokaririshwa?
Mtu kama wewe eti unajiita mwana CHADEMA.tafadhari nyoosha maelezo usiwe kama popo.
Ndicho ulichokaririshwa?
Jana asubuhi vijana waliosadikiwa kuwa ni wafuasi wa Lema walifanya vurugu kwa kupiga mawe kila daladala na pikipiki iliyotoa huduma ya usafiri ili kuwashinikiza wahusika kugoma.
Hiyo ndio CHADEMA
Source uhuru bia
hakuna jipya hapo
...............Ni mtazamo wako,(wa hovyo lakini) hivyo ndivyo unavyofikiri wewe, usiwasemee wenzio kama kweli wewe CDM, na kama sio shame on u!Lema anatuaibisha wanachadema wa Arusha..
Afadhali wamiliki wa vyombo vya usafiri wameliona hilo.
Nani mmiliki/wamiliki wa UHURU??? lol