Hiyo ni rushwa aisee, wanafunzi wamejiongeza ili awe anawapa maksi za upendeleo. Wanafunzi Wana akili sana lecturer apewe into Kali aisee including suspension na asifundishe hilo darasa mpaka watakapomaliza.Hakupaswa kupokea hiyo zawadi kwani kama mtumishi wa umma Kuna taratibu za kupokea zawadi ili isije ikawa rushwa.Ni hatari sana tukiendekeza tabia hii.Wangempa kwenye mahafali ya kumalizia ninsingekuwa na neno sana Ila hili wahusika walikemee.
Wenyewe wanaonesha kufurahia tendo hiloHawakufikiria zawadi nyingine, utadhani dem wa kibongo anamzawadia bwanake siku ya valentine
Hakuna kitu kama icho,huoni hapo darasani wanafunzi wamejaa hii inaonyesha ni namna gani mwalimu amejitoa kwa ajili yao,halafu inawezekana huyu ticha maisha yake ya kwao enzi anasoma alipitia changamoto kubwa wakati wake wakusoma ndio maaana anaamua nayeye kujitoa ili awe daraja la watu wengine kupita na sio kuwa sehemu ya kuwaangamiza wenzakoNdo kilichowapeleka hapo kutoa zawadi kwa mwalimu kipindi wangali masomoni, kwa nini hiyo zawadi wasiitoe siku wanapohitimu masomo......TAKUKURU fuatilia kukomesha hii tabia.
Yuko very smart, anafundisha pia review classes za CPAAnaonekana ni mchafu sana
Unalosema inaweza kuwa kweli, lakini katika mazingira ambapo unategemea mwalimu asitoe upendeleo bali mwanafunzi afaulu kwa jitihada zake katika masomo, hatutarajii wanafunzi watoe zawadi ya aina yoyote kwa mwalimu, labda kama zitatolewa baada ya wanafunzi kuhitimu masomo yao, simply because zawadi za aina hiyo zinaweza kumsukuma mwalimu awe na upendeleo uliovuka mipaka kwa hao wanafunzi.......yaani zinajenga mazingira ya rushwa.Hakuna kitu kama icho,huoni hapo darasani wanafunzi wamejaa hii inaonyesha ni namna gani mwalimu amejitoa kwa ajili yao,halafu inawezekana huyu ticha maisha yake ya kwao enzi anasoma alipitia changamoto kubwa wakati wake wakusoma ndio maaana anaamua nayeye kujitoa ili awe daraja la watu wengine kupita na sio kuwa sehemu ya kuwaangamiza wenzako
Ila demi weweHawakufikiria zawadi nyingine, utadhani dem wa kibongo anamzawadia bwanake siku ya valentine
Acha Wivu Mwalimu... Nawe piga kaziIlikuwa wasifanye hivyo.
Lakini piaa walimu wengine wanaowafundisha hao wanafunzi watajiskiaje aiseee.
Ha haaa mi naona kichekeshoIla demi wewe
Aya bhanaHa haaa mi naona kichekesho
.we jamaa Kuna mjumbe wa cdm alikuchefua nn.Chadema wanapinga Tanzania ya viwanda
Wazazi tunalipa ada na pocket money mtoto apate elimu Bora kumbe hela ananunuliwa Mwalimu zawadi
UE n next week hkn shidaaNdo kilichowapeleka hapo kutoa zawadi kwa mwalimu kipindi wangali masomoni, kwa nini hiyo zawadi wasiitoe siku wanapohitimu masomo......TAKUKURU fuatilia kukomesha hii tabia.
Hawakufikiria zawadi nyingine, utadhani dem wa kibongo anamzawadia bwanake siku ya valentine