Lecture anamtaka mpenz wangu!!

Lecture anamtaka mpenz wangu!!

Ni kweli, ndio maana anatakiwa kwenda taratibu sana. Maana akishindwa kutetea tuhuma basi na chuo wanammalizia kabisa, future inavurugwa

Yani ukijipindua kidogo inakula kwako.....!alafu kuwakamata hao ufanye kazi kweli kwakuwa ni tabia zao,wanajua mbinu zote.Siku moja nao waliwe kabaang tu maana wengine wanataka kuwapakaza ----- ----- watoto wa watu.
 
Hakuna kitu kama hicho wewe usidanganyike. Mwambie mpenzi wako asome na awe makini na assignments zake zote. Afanye assignemnts zote na aweke vizuri matokeo kwa ushahidi. Kuandikiwa INCOMPLETE ina maana hajafikia marks za kumwezesha kuPASS ambazo hujumlisha assignments za darasani i.e. take home assignments, group/individual assignments, tests pamoja na UE. Akiwa amefaulu assignments kiasi cha kuruhusiwa kufanya UE huyo Lecturer hawezimwandikia INCOMPLETE. Na hata aiamua kumfelisha wapo wanaopitia matokeo kabla hayajatolewa.

INCOMPLETE maana yake siyo kufeli: Maana yake ni kuwa kati ya assignments zote, kuna mojawapo au baadhi hajafanya. Na hivyo hata kama amefikisha maksi za CW kwa assignments mbili, kama ya tatu hakufanya basi NI INCOMPLETE na hataruhusiwa kufanya UE
 
look at what be hold you in front:A S-fire1:
not every no can have a better solution
 
Sio ustaw wala nini.....!nina kesi huko na lecturer wangu alitaka kunidinya mie.Wanapenda mizigo kama nini,unaweza hata kushikishwa ukuta.

Shitt!!!pole hope things went well in court......dah hope akupata kitu.
 
INCOMPLETE maana yake siyo kufeli: Maana yake ni kuwa kati ya assignments zote, kuna mojawapo au baadhi hajafanya. Na hivyo hata kama amefikisha maksi za CW kwa assignments mbili, kama ya tatu hakufanya basi NI INCOMPLETE na hataruhusiwa kufanya UE

Inategemea na chuo mkuu.....!CW ina marks arobaini na hutakiwi kupata chin ya 16 ili usit kwa UE.
Kama kwenye test mbili ukapata 20 kwa maana 10 kila test out of 15,hata kama assignment ya marks 10 hukufanya bas unaruhusiwa kuSit EU.

NB:inategemeana na chuo
 
Hakupata na hatapata.....!everythng gonna b aryt in jesus name.

A Big Amen to That!!!!!t sound gud,ur JF name reflect tht character......bt I thnk ivyo ni vijtabia vya watu,kuna kipndi nilifundsha chuo X, na mabinti walikua wao ndio wanataka niwamege ili kitabu kwao kiwe mteremko bt NILIFUNGA ZIP VIZURI, hadi naacha kazi hapo chuoni.
 
Mwambie a-perform vizuri kuliko kawaida. Lecturer hatajua pa kuanzia kum-disco. Akionewa apeleke malalamiko kwenye vyombo vinavyohusika.
 
A Big Amen to That!!!!!t sound gud,ur JF name reflect tht character......bt I thnk ivyo ni vijtabia vya watu,kuna kipndi nilifundsha chuo X, na mabinti walikua wao ndio wanataka niwamege ili kitabu kwao kiwe mteremko bt NILIFUNGA ZIP VIZURI, hadi naacha kazi hapo chuoni.

Ukishazoea kugawa wat do u expect.....kwahiyo inakuwa ni muendelezo tu kama picha ya kihindi!!!!!!!!!"
Walimu wamezoea kuwaomba kwahiyo hata kama hawajaombwa wanajua ni walewale tu.Very bad!!!!!!!!!!!!!
 
hebu fanya hivi @ binamutz

weka jina la chuo,idara na course anayofundisha huyo mwalimu hapa


ukimwi na sembe vitushinde,hata unyanyasaji wa kijinsia nao??????( kamakweli)

mkuu hii siyo stor ya ku2nga ni kwel ila cwez fanya vho ni bado mapema xana.ukwel utajulkana soon!
 
Lecture?
Hahahaha umenifurahisha aisee. Lecture banaa
mpenz wangu kanilalamikia lecture wake anamtaka kimapenz kamwambia kama asipo mpa TUNDA la kati basi atamwandikia INCOMPLETE katika research yake.naomben ushauri Nimsaidiaje my wyf material coz nampenda sana
 
si shauri aweke jina la mwalimu ni hatari maana hakuna ushahidi wowote ambao huyo binti anao.ni majanga jamaniiiiiiii....... binamitz

ni kwel miss strong ni bado mapema xana cwez fanya hvo
 
Last edited by a moderator:
si shauri aweke jina la mwalimu ni hatari maana hakuna ushahidi wowote ambao huyo binti anao.ni majanga jamaniiiiiiii....... binamitz

ushahid upo miss strong kuna msg za huyo mhadhiri kwenye cm ya mpenz wangu
 
Last edited by a moderator:
lecture?
Hahahaha umenifurahisha aisee. Lecture banaa

hayo ni makosa ya kiufundi king'asti kwan ww hujawah tamka mma badala ya maji ulivyokuwa mtoto.kila k2 kinaenda nakujfunza nashukuru umenielewa nilichokuwa namaanisha
 
Hakuna kitu kama hicho wewe usidanganyike. Mwambie mpenzi wako asome na awe makini na assignments zake zote. Afanye assignemnts zote na aweke vizuri matokeo kwa ushahidi. Kuandikiwa INCOMPLETE ina maana hajafikia marks za kumwezesha kuPASS ambazo hujumlisha assignments za darasani i.e. take home assignments, group/individual assignments, tests pamoja na UE. Akiwa amefaulu assignments kiasi cha kuruhusiwa kufanya UE huyo Lecturer hawezimwandikia INCOMPLETE. Na hata aiamua kumfelisha wapo wanaopitia matokeo kabla hayajatolewa.


huyo atakuwa ameliwa tayari!!!!!!!!!!!
 
mwambie a-perform vizuri kuliko kawaida. Lecturer hatajua pa kuanzia kum-disco. Akionewa apeleke malalamiko kwenye vyombo vinavyohusika.

nashukuru mkuu ndo nafanya maandalz ya awal ya kukusanya ushahd
 
a big amen to that!!!!!t sound gud,ur jf name reflect tht character......bt i thnk ivyo ni vijtabia vya watu,kuna kipndi nilifundsha chuo x, na mabinti walikua wao ndio wanataka niwamege ili kitabu kwao kiwe mteremko bt nilifunga zip vizuri, hadi naacha kazi hapo chuoni.

hongera mkuu mr wise hope mungu atakupa maisha marefu na matamu wahadhiri wenye moyo kama wako ni adimu xana cku hz
 
yani ukijipindua kidogo inakula kwako.....!alafu kuwakamata hao ufanye kazi kweli kwakuwa ni tabia zao,wanajua mbinu zote.siku moja nao waliwe kabaang tu maana wengine wanataka kuwapakaza ----- ----- watoto wa watu.

ni kwel kabisa inahtaj umakin kuwa kamata lakn ntajarbu niwezavyo naamin mungu atakuwa upande wangu
 
mpenz wangu kanilalamikia lecture wake anamtaka kimapenz kamwambia kama asipo mpa TUNDA la kati basi atamwandikia INCOMPLETE katika research yake.naomben ushauri Nimsaidiaje my wyf material coz nampenda sana

kwani mpaka hapo alishaliwa huyo anajikosha tu mbele yako anakuambia ujue tu..:help::wave:
 
Back
Top Bottom