MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Thanks mamii................God bless you.
You too mamii, kumbuka you have passed through that ili uzidi kuwa strong miss strong. Hongera kwa kuitetea haki yako.
Last edited by a moderator:
Thanks mamii................God bless you.
You too mamii, kumbuka you have passed through that ili uzidi kuwa strong miss strong. Hongera kwa kuitetea haki yako.
Thanks kwa kunitia moyo kwa maana peke yangu siwezi bila MwanajamiiOne,na yeyote ambae yupo kwa upande wangu.Ni kwa neema tuuuuuuuuuuuu!Barikiwa
Teh teh teh.....yan ni ---- huyo mpaka kakimbilia mahakamani Zulu Mboonane yaan papuchi yangu anaikatia rufaa
Hahahaha hajui kama we mjanja, ungemtafutia vijana wamfanyie ile kitu inaitwa "0713 express yourself" mbona rufaa angeisahau mwehu huyo....
Ungejua COURSE WORK ndo Lecturer haingiliwi kabisaaaaaaa! Hata ukifanya hivo vitu NAKUSAISHIA KIMAFIA TU!!!!!!! Mhhhhhhhhhhhhh! Hapo dawa ni kuwa mpole tu, na kujiandaa na Supu.
Ubaya una mwisho wake. Usipopambana anachoka kukushambulia.
lara 1 uko sahihi haingiliwi wakati wa kusahihisha sawa but inapotokea amekuwekea INCOMPLETE wewe kama mwanafunzi unaitwa unaleta vithibitisho vyako kuwa ulifanya HOMEWORK ZOTE na mtu mwingine anazipitia na kuzisahihisha upya kama Lecturer alikupunja marks inajulikana wazi. Yaani hapo ndio mwsho wa matatizo. I know what I am referring here sweets! Hakuna kuwa mpole kwa haki zako aisee kama unazijua na unajua wapi pa kuzifuatilia
mpenz wangu kanilalamikia lecture wake anamtaka kimapenz kamwambia kama asipo mpa TUNDA la kati basi atamwandikia INCOMPLETE katika research yake.naomben ushauri Nimsaidiaje my wyf material coz nampenda sana
Hahahaaaaaa! Uwiii kweli wewe upo kazini aisee, khaaaaaa
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/437491-lecturer-part-3-a.html
Pitia hapo.. ushindwe wewe tu sasa
Watu wafukunyuku jamaniiii....!
kimya kimya basi