Haya mambo yanatokea sana vyuoni, in most cases ni walimu kuwataka mabinti na in few cases mabinti kuwataka walimu. Personally, I know about five classmates ambao at some point chuoni walimu waliwataka, bahati tu walimu wenyewe hawakuwa wakware kiasi hicho so kulikuwa hakuna kulipizana visasi baada ya kuwa-turned down. But kuna cases kama mbili ambazo wanafunzi walirudia mwaka kwa kuwakataa walimu, mmoja wapo ni alikuwa girlfriend wa rafiki yangu sana. Mwalimu alivyomtaka, binti akaofa kumpa pesa, mwalimu akagoma kabisa and worse enough akawa anataka ule mtandao wa bei rahisi (Kabang!). Binti aligoma kabisa na akarudia mwaka.Ni rahisi kwa observer kusema "She should know what to do" but trust me the whole system is ----! Wapi anaenda kushitaki? Do you truly think its easy for a 20 yrs girl kwenda kwa Prof XXXX akamsemee Prof YYYY kwamba anamtaka?
Wakati fulani, baada ya wanafunzi wengi kupata suplimentarries, mwalimu mmoja akasema mwaka huu tutawat***a kweli, na waliwat***a kweli kweli. Kwa wale wanaosema ni kiherehere, wasubiri mabinti zao waliwe Kabang ndio watakapojua ubovu uliopo kwenye vyuo vyetu. Haya mambo kama hujayashuhudia bora uyaache tu kama yalivyo,