mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,426
- Thread starter
- #61
hapo nimekusoma best. Sasa nae huyu form four failure kwa nini asitafute mwanamke wa design zake? Mi naona huyu wa chuo awaachie wasomi wajivinjari nae.
mkuu frakitosho hahahaha pole yako naona bado hujajua lyf ww unaish na baba na mama nn?kama umebalehe ucngeweza kuandika huo utumbo