Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
Ninaifatilia histoia ya Nchi ya lebanon kabla ya Kuigia mwiba ndipo nakumbuka maneno ya baba yangu kuwa:
Katika maisha yangu nijaribu kuwasaidia watu kadri ya uwezo wangu lakini lazima nijue si kilaa mtu anastahili msaada wangu, ninapomsaidia mtu nikumbuke huyu kesho asijekuwa karaha kwangu, maana kuna watu hata ufanye nini na bado wanataka wakuangamize, kukusema vibaya, wagumu kushukuru, waaribu mipango yako. kwaiyo kuwa makini.
Nchi ya Lebanon kabla ya mwibo ilikuwa nchi ya watu huru, nchi ilikuwa na furaha, nchi ilikuwa na Maendeleo, Nchi ilikuwa na Amani, nchi ilikuwa inaongoza katika Middle east lakini leo hayo yote ni kitendawili.
Nawakumbusha wana JF unapotaka kusaidia angalia nani wa kusaidia si kila mtu anastahili msaada wako maana hao unaowasaidia inaweza kuwa chanzo cha anguko lako kama ilivyotokea kwa Libanon.
Nimemaliza
Katika maisha yangu nijaribu kuwasaidia watu kadri ya uwezo wangu lakini lazima nijue si kilaa mtu anastahili msaada wangu, ninapomsaidia mtu nikumbuke huyu kesho asijekuwa karaha kwangu, maana kuna watu hata ufanye nini na bado wanataka wakuangamize, kukusema vibaya, wagumu kushukuru, waaribu mipango yako. kwaiyo kuwa makini.
Nchi ya Lebanon kabla ya mwibo ilikuwa nchi ya watu huru, nchi ilikuwa na furaha, nchi ilikuwa na Maendeleo, Nchi ilikuwa na Amani, nchi ilikuwa inaongoza katika Middle east lakini leo hayo yote ni kitendawili.
Nawakumbusha wana JF unapotaka kusaidia angalia nani wa kusaidia si kila mtu anastahili msaada wako maana hao unaowasaidia inaweza kuwa chanzo cha anguko lako kama ilivyotokea kwa Libanon.
Nimemaliza