Leave Whatsapp group bila members wengine kujua

Mi nilileft magroup yote...kuna jamaa akawa ananirudisha na yy nikamblock!!

Magroup yanakera sana..huko zimejaa tambo na michango isiyo na kichwa wala miguu...
 
Umeanza vizuri mkuu ila umemalizia kibwege sana.

Unajua wakati mwingine huwezi kuelewa kitu mpaka kikuguse kulingana na heshima na hadhi yako tena unapokuwa watu maarufu sana kila unachokifanya kinaweza kutafsiriwa hovyo.
Nikushauri tu uache wakati ujibu ipo siku utakuja ukumbuka huu uzi.

Wewe ndio unaendeleza ubwege ndugu nani aliyekuambia kuleft katika group la whatsapp nikuonyesha unajiona?
Umeelimika lakini naona still your primitive in mind
Kuna mambo ambayo yanakuwa ni katika misingi yako na mengine ni misingi ya wote
hivi kabla ya whatsapp ulikuwaje? mbona unaendekeza itikadi ambazo hazipo? acha ubwege bana wewe ni mwanaume
inamaana bila whatsapp hautawapenda ndugu na marifiki zako?
Niukumbuke huuu uzi kwa ubwege wako? nimeshawahi left mara kibao sehemu zingine bila kuaga.

Inamaana ukiwaeleza ndugu zako hivyo bado watakukatalia? au nyie ndio wewe na marafiki zako mnajua bila whatsapp hakuna kuheshimiana

UMEPEWA LUGHA NZURI SANA ZA KUTUMIA NAMNA YA KUZUNGUMZA NA WATU WAKO ILI UWEZE KULEFT ILA AKILI YAKO INAKUSHAURI HAWATAKUBALI SASA UKILEFT KIMYAKIMYA BILA WAO KUJUA NA SIKU WAKIJUA SI NDIO UTAONEKANA BWEGE KABISA?
ACHA UZUZU KUWA NA MAAMUZI YA KIUME WHATSAPP GROUP SIO HESHIMA HESHIMA NIKUWEKA MAWASILIANO MAZURI NA WATU WAKO WAKARIBU
 
Kichwa cha habari chahusika,
Nikiri tu yakuwa mimi ni mmoja ya watumiaji wa mtandao pendwa wa Whatsapp ila nimekuwa nikikutana na changamoto ya kuungwa magroup mbalimbali bila ridhaa yangu hali inayopelekea kuwa na magroup mengi sana kuanzia la primary mpaka vyuo, ya kanda, harakati, biashara, vyama, team za mipira na za maofisi yote tuliyopita jumlisha na field za miaka hiyo ya chuo.

Kutokana na kero kama hizo huwa natamani sana nitoke katika baadhi ya magroup kwani mengi hayana tija tena ni story tu na vilugha visivyo vya mbele wala nyuma kitu ambacho kinanisababishia nifikirie kuleave group but kutokana na HESHIMA yangu na profile yangu nahofia nikitoka wataanza kusema anajifanya KASOMA SANA, mara sikuhizi ana HELA SANA au kisa ni MTU FULANI mbona zamani tuliwa naye au kisa.....

NAHITAJI MSAADA WA MA MAWAZO ON HOW I CAN LEAVE WHATSTAPP GROUP WITHOUT NOTIFICATION.

YANI ILE 0743...... has left the group isitokee kwenye group.
Nileft kimya kimya inawezekana wakuu?
Ni way out mkuu, sio kwamba kila tatizo unaweza kujibiwa humu na mnalalamikia sana IT as if kila tatizo IT wanaweza kusolve humu, vitu vingine unaweza kugoogle, anyway Whatsapp mods third parties wanaweza kuweka hiyo feature mbeleni
 
Leave WhatsApp Group Without Notification

The best way to leave a WhatsApp group without notification is to opt for the mute or disable group notifications. This way, you will never be prompted about the messages being communicated in the WhatsApp group. You can also turn on this notification setting any time you wish.

For disabling WhatsApp Group chat notifications, go to ‘Settings’ of your WhatsApp.

Tap ‘Notifications’
 
Mkuu, naona hujawekwa kwenye Yale magrupu ya michango ya Harusi uone yanavyokera.. Toka uone lawama zake ...
Usibishane na watoto jf imejaa na watoto ni nani atakayemuadd mtoto kwenye group la michango ya harusi?
Atatoa nini?
 
Nilijua babaisha itakuwa nyiiiiiingi. Nimemkumbuka mwalimu wangu wa Math alikuwa kilaza mkimmuliza swali jipangeni atakumbusha makosa mengi na kuzungusha asitoe jibu. Hivi hatujajua kuwa lei whatsapp leo ni sehemu ya kijamii huwezi kuleft kibwege kama ni mstaarabu . Afadhali aliyeshauri uage
Waambie nahisi wengi ni watoto tunatofautiana hekima
 
Hill swali kuna mdau alishawahi kuuliza humu ila nimeshindwa kuupata huo Uzi,ni kwamba;
Nenda kwenye settings ya whatsapp yako,then notifications halaf 'group notification' then una 'mute'au disable group notifications au
Nenda ' group info' ya group husika halafu select 'mute' hapo nadhan utakua umefanikiwa.
Hiyo ndio nmeifanya ila inanijazia server kwenye cm yangu coz msg zote zinaingia tofauti tu ni kwamba hakuna kelele zikiingia
 
Unashindwaje kuondoka kwenye group la WhatsApp kama umeona halina tija? Watu mpoje?

Very simple. Waage tu. Waambie kwa sasa kuna changamoto unapitia na unatoka kwenye group na utaomba kurudi ukishakaa sawa. Tuma hiyo then left immediately bila kuruhusu mjadala. I have done several times na wala hakuna aliyenimind
Hawakumind inategemea na status yako katika watu hao
 
Kwa hiyo hamna mwenye ujanja huo kutoka ktk group kimya kimya maana bila watu kuona wala kujua!!!????? Maana naona mnajibu tofaut na majibu anayoyataka basi semeni hamuwezi kuliko kujifanya kujibu majabu ambayo sio.
Naunga mkono hoja
 
Hawakumind inategemea na status yako katika watu hao
Hicho kinachoitwa “status” ndo kinawafanya watu waendelee kuwa watumwa. Kama umeona kabisa group halina tija na limebakia kuforwardiana ujinga, no matter whatever “status” you think you have, usiogope kusepa kisa unahofia watakuonaje. Kuondoka group haimaanishi kwamba utakuwa haucommunicate na baadhi ya members privately
 
Nilikuwa kwenye kundi moja la shule ya sekondari..sasa hilo kundi liligeuka kama vile hakuna ninachoweza kufanya bila hilo kundi.Nikajiuliza hivi kwa miaka yote hiyo tuliyoachana shuleni hadi hapa nilipofikia mbona sikupata msaada wa hao wanakundi?!Nilichukua maamuzi magumu nikaondoka,najua walisema sana ila niko huru.
 
Nilikuwa kwenye kundi moja la shule ya sekondari..sasa hilo kundi liligeuka kama vile hakuna ninachoweza kufanya bila hilo kundi.Nikajiuliza hivi kwa miaka yote hiyo tuliyoachana shuleni hadi hapa nilipofikia mbona sikupata msaada wa hao wanakundi?!Nilichukua maamuzi magumu nikaondoka,najua walisema sana ila niko huru.
 
Kichwa cha habari chahusika,
Nikiri tu yakuwa mimi ni mmoja ya watumiaji wa mtandao pendwa wa Whatsapp ila nimekuwa nikikutana na changamoto ya kuungwa magroup mbalimbali bila ridhaa yangu hali inayopelekea kuwa na magroup mengi sana kuanzia la primary mpaka vyuo, ya kanda, harakati, biashara, vyama, team za mipira na za maofisi yote tuliyopita jumlisha na field za miaka hiyo ya chuo.

Kutokana na kero kama hizo huwa natamani sana nitoke katika baadhi ya magroup kwani mengi hayana tija tena ni story tu na vilugha visivyo vya mbele wala nyuma kitu ambacho kinanisababishia nifikirie kuleave group but kutokana na HESHIMA yangu na profile yangu nahofia nikitoka wataanza kusema anajifanya KASOMA SANA, mara sikuhizi ana HELA SANA au kisa ni MTU FULANI mbona zamani tuliwa naye au kisa.....

NAHITAJI MSAADA WA MA MAWAZO ON HOW I CAN LEAVE WHATSTAPP GROUP WITHOUT NOTIFICATION.

YANI ILE 0743...... has left the group isitokee kwenye group.
Nileft kimya kimya inawezekana wakuu?
Uza simu au poteza kaa kama miezi miwili hivi utajikuta haupo automatically
 
Back
Top Bottom