Learning to love..ts so beautiful!

Learning to love..ts so beautiful!

Shikamoo kaka binamu!!
Usisababishe watu wauze mashamba ya urithi bure!!

If it mean her hapiness and apprecition!...wil surely do tht..tanzania tuna maekari kwa maekari hayajaguswa(untouched land)..i can buy it wth time...for wat she did!!! shez worth it!
 
nice.... umekubalije iwe historia? if its true golden chance never come twice...
 
stori za watu kuachana zinasababisha nipaone MMU mahali pa maumivu

leteni na zile,'tulipendana,na sasa tuko pamoja,tumeoana'


Sometimes when we let go of people we love..we do it for them to be happy...not because we dnt lav them...ths counts
 
Iyo inaitwa mahaba nipoteze kama meli ya malaysia...ok nxt tym ntasema kwann nliachana nae wkt nampenda mpaka kesho...

Pia wakat uo mwingine ntaandikwa kiswahili mwanzo mwisho


Sorry ni Ndege !

Relax ! Am just kidding !

:msela:
 
Mi nna deni Tiffany & Co. la Princess cut diamond stud earrings kwa bi mdogo.

Ila sharti ni moja...lazima a-make tena Dean's list shuleni na yupo on track hivyo sina ujanja.

If you don't mind Unaweza share ni hereni au mkufu na price yake?
 
nice.... umekubalije iwe historia? if its true golden chance never come twice...

Kuna wakat nawaza vingine ila nxt tym ntasema how dd we end up diff ways....thn u guyz can judge frm there...
 
jamani hii stori imenifanya nihisi kama u were my BF once upon a time lol...

sijui nimejisikiaje ndani ya moyo wangu
 
You can say that again.

Ndo maana wanasema it is better to have loved and lost than never to have loved at all.

Love is Beautiful. There is nothing like it especially when it is true and you are loved too.

Ndio maana nimemwambia ampe zawadi itakayo last forever ..diamonds..
 
Back
Top Bottom