Learning to love..ts so beautiful!

Learning to love..ts so beautiful!

hahahahaha umeona eeeeeh tatizo shuhuda nzuri watu hawazipendi

Sio hawazipend...inatokea mara chache...mara nyng hua inakua n ile ya kugawana mbao...i dnt give a damn!! jst go!!!!!...
 
Wrong gues....nimesema uko nyuma kua shez my super star na kama nikiambiwa leo hii nioe fasta wakwanza kumfikiria atakua n yy...life wasnt fair enough to let us roll....

Utajudge nxt tym baada yakujua kinaga ubaga cha kwann tuliacha....

Magombe nasubiria story kwann mliachana. its touching.... nimekutana na aina hii ya maisha najua ilivyo.......Kwa wengine ni story nzuri..intresting..lakini wengine tumepita hukoooo
 
Magombe nasubiria story kwann mliachana. its touching.... nimekutana na aina hii ya maisha najua ilivyo.......Kwa wengine ni story nzuri..intresting..lakini wengine tumepita hukoooo

Usijal so soon ntaleta thread yenye sabab izo..ingawa ts a long story ila ntajitahd kuifanya summary..
 
been there ndugu....mtu hawezi elewa why mmeachana ila hata mimi nikiambiwa utamuoa nani my ex is the first girl to pop into my mind ingawa nimeshatoa mahari kwengine....if only.....
 
been there ndugu....mtu hawezi elewa why mmeachana ila hata mimi nikiambiwa utamuoa nani my ex is the first girl to pop into my mind ingawa nimeshatoa mahari kwengine....if only.....

Tehe tehe...hop ure mchumba hayupo umu maana anaweza kurudisha mahar...

Though ts gud to appreciate mku...
 
mmmh! hii couple kama naijua vile..kulikuwa na couple kama hii pale sua yani iliacha historia.
 
Back
Top Bottom