Le Mutuz na uandaaji wa miss Ilala

Le Mutuz na uandaaji wa miss Ilala

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,493
Reaction score
7,421
Anadai show itakuwa kubwa sababu waandaaji yeye anatoka USA na juma pinto anatoka Uk
Source clouds fm
Anaongea sasa hivi
my take
Jamaa kuna mambo anaongea kama ajielewi
"Vox popoli vox dei"
 
Eti ilala ndo Tanzania shame on you
 
Iyo shuhuli ndo inamfaa kabisa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hawa si ndo wabeba box ambao kuna mdau alisema humu jamvini wana make things happen wakitoka huko maboxini? Is this the way of making things happen?
 
HIYO KAZI INAMFAA,na ANAIWEZA! mission town huyo!
 
Huyu si nimesikia atagombea ubunge?
Hivi hawa watu wenye akili za kimiss kweli wanapotaka kujiingiza bungeni wanafikiri watafanya nini pale?
CCM walikosea sana kuja na hii habari ya VITU maalum ndo chazo cha watu wa hovyo kuitamani bunge hadi heshima ya kibunge haipo tena.
 
Back
Top Bottom