lazima utakuwa hujalala kwenu

najua ushaitumia hii, tena sio kwenu, haya niambie umeitumia ukiwa wapi vileeeee?

522483_457572274278552_1030736840_n.jpg

Hili swali labda hajieleweka. Sio mnakurupuka tu kujibu. Soma mazingira ya swali. Angalia clues, then jibu swali.
 
Mimi nilikuwa sivipendi! baadaye nilikuwa naenda na kipande cha sabuni iliyotengenezwa kwa magadi.
 
C6 mi nivionaga duka la jumla, kumbe watumiaji wa hivi ni lazima wawe hawajalalakwao?
 
Last edited by a moderator:
Ukiogea hiki ki-sabuni lazima upitie baa ujimwagie "kiroba" kwenye nguo then unaelekea home bila wasiwasi...!
 
Sikuhizi kuna aina mpya rungu afadhali kuliko hii balaa ukikatiza watu lazima wakunyoshee vidole,
 
Mi sizipendi kila mtu anajua umetoka maeneo aaah, ni kama zile 3 lazima unukie ndizi, choclate au strawbery.....
Kuleteana kesi tu!!!!
 
mimi ni mtu wa safari safari so huwa nalala lodge mara kwa mara. najua wewe huwa hulali lodge huwa unaenda tu kwa dharura halafu unarudi kulala nyumbani.
 
Back
Top Bottom