Lazima mke ashuke tu kwa mumewe vinginevyo hakuna ndoa

Haaa jamani siyo nyie mnaosemaga kwamba mkiwa mnatongoza ile mara ya kwanza mnakuwa hamjatupenda bali mnakuwa mmetutamani tu halafu upendo wenu utategemea na tabia za hao wanawake mliowatongoza?
Yeap, uko sahihi mwanafunzi wangu maana naona unaanza kunielewa, sasa ukishaingia ndani ukaolewa hapo andiko linakuwa limitimia kwa100%

Yaani wewe unakuwa umependwa,ni wewe kutimiza wajibu wako wa kutii na kula mema ya mmeo.
 
Yeap,uko sahihi mwanafunzi wangu maana naona unaanza kunielewa ,sasa ukishaingia ndani ukaolewa hapo andiko linakuwa limitimia kwa100%
Yaani wewe unakuwa umependwa,ni wewe kutimiza wajibu wako wa kutii na kula mema ya mmeo.
Wacha we haya bwana
 
Wapumbavu Kama Hawa

Ngoja wanyooshwe kwa vile kila mtu atabeba msalaba wake shaur yao View attachment 1125813
Haya sasa unakuta na mwanaume kama huyo naye anataka mke wake amtii hivi ni haki hiyo kweli? Uanaume siyo jinsia na nafasi mlizopewa tu jamani bali pia uanaume ni uwezo wa kubeba na majukumu mliopewa juu ya wake zenu na watoto wenu bila kutegemea wake zenu wawasaidie waambieni wanaume wenzenu hao mwanamke kumheshimu mwanaume kama huyo yataka moyo siyo kidogo hebu vaeni viatu vyetu muone jamani
 
Mm hili jambo silikubali kwa 100%... HV hakuna wanawake viburi naturally??
HV hakuna wanawake wenye Tania mbaya naturally??
Iweje mke akiwa na tabia mbaya mseme n lazma mume kahusika kumfanya awe na tabia mbovu??
 
Mm hili jambo silikubali kwa 100%... HV hakuna wanawake viburi naturally??
HV hakuna wanawake wenye Tania mbaya naturally??
Iweje mke akiwa na tabia mbaya mseme n lazma mume kahusika kumfanya awe na tabia mbovu??
Aisee mbona wanaume kwenye kuchepuka wote huwa mnasingizia wake zenu ndo chanzo kwani hakuna wanaume malaya naturally? Yaani hii dunia bwana
 
Mm hili jambo silikubali kwa 100%... HV hakuna wanawake viburi naturally??
HV hakuna wanawake wenye Tania mbaya naturally??
Iweje mke akiwa na tabia mbaya mseme n lazma mume kahusika kumfanya awe na tabia mbovu??
Hizo Ni exceptions ambazo zinaweza kutokea kwa pande zote 2,na hii itakuwa nje ya mada

Hayupo mwanamke anayemdharau mwanaume anayempenda mwanamke huyo kwa dhati na anayesimama kwenye nafasi yake vizuri.

Ukiona unampenda kweli na unasimamia nafasi yako vzr na bado anakudharau nenda kaongee vizuri na Mungu
 
Kila mwanamke ana akili zake......hata mkiongea sana hii battle hakuna atakayeshinda.....mwisho wa siku maisha yataendelea...ndoa n kusaidiana,kuvumiliana na kupendana.
 
Ila wewe n moja ya wapenda 50-50%...... Mungu atakupa kulingana na stahili yako
 
Natamani niongee kitu ila nahis huwez kunielewa.....akili yako yote ushaidirect ktk kubishana badala ya kueleweshana .....punguza jazba then come and discuss with proper knowledge
 
Kila mwanamke ana akili zake......hata mkiongea sana hii battle hakuna atakayeshinda.....mwisho wa siku maisha yataendelea...ndoa n kusaidiana,kuvumiliana na kupendana.
Kumbe mnalijua hilo mbona mnawasemea wanaume wenzenu wanaoteseka kwenye ndoa hadi mnatukashifu wanawake? Waacheni hivyo hivyo maana kila mtu si ana akili zake
 
Ila wewe n moja ya wapenda 50-50%...... Mungu atakupa kulingana na stahili yako
Kwanini nipende 50/50? Tatizo wanaume mnapenda wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu" hao ndo mnawaona wanyenyekevu sisi wengine ambao tunawarekebisha kwenye baadhi ya mambo mnayokosea mnaona tunapenda usawa.

Na yote hiyo ni kwa sababu hampendi kuambiwa na kuukubali ukweli mmeshazoea wale wanawake kama wa zamani ambao hata mfanye kosa gani wanawavumilia na kuwasamehe tu huku wao wanaumia ndani kwa ndani maana hawawezi kuwakosoa waume zao sababu wanaogopa wataonekana wajeuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…