Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

Kweli nyie ni vi laza sana maana hamjui hata kuwa hii mahakama itamuaibisha JK. Wallah naapia akiitwa Lowassa huko ndo itakuwa mwisho wa hiyo mahakama. Maana Lowassa atatoa ushahidi wote na namna JK alivyokuwa anamwelekeza kuvunja sheria. Let us wait and see

Vipi kama Rais mstaafu ana kinga kisheria?

Acheni hizo; mnashindwa kujiuliza kwa nini Lowassa anaunga mkono kasi ya Magufuli? Anajua hatma yake kisiasa kwa sasa ipo mikononi mwa Magu...
 
Akikamatwaaa Lowassa navua nguo zote sitovaa tena nguo mpaka nakufa


Weka akiba ya maneno. Kuna mwenzio alijiapiza hapa kuwa Zitto hawezi kushinda ubunge 2015. Kaingia mitini hajaonekana kwa ID ile humu JF.
 
Kiashiria cha udhaifu kwa binadamu wakati mwingine ni pale anaposhindwa kulifikisha mwisho jambo la muhimu analotakiwa kulikamilisha. Sisi kama taifa tumekuwa tunatangatanga na Jambo lililosababishwa na mtu mmoja tu na sisi kama taifa tumeshindwa kufikia mwisho wake.

Tarehe 7/2/2008 aliyekuwa Waziri wa Mkuu wa Tanzania wakati ule, Edward Ngoyai Lowassa alijiuzulu wadhifa wake baada ya kutuhumiwa kuingilia mchakato wa Zabuni ya Ufuaji Umeme iliyosababisha kuletwa kwa Kampuni ya Ufuaji Umeme ya Richmond nchini. Tangu kujiuzulu kwa Lowassa mpaka sasa imeshapita miaka zaidi ya 8 na miezi kadhaa, lakini bado suala la sakata la Richmond halijaisha

Mitambo iliyoletwa na Kampuni ya Richmond ambayo bado ipo Pale Pale ilipofungwa na Kampuni ya Richmond, imeshabadilishwa umiliki wake mara mbili. Imetoka kwa Richmond ikanunuliwa na Dowans na sasa inamilikiwa na Kampuni ya Symbion ya Marekani. Lakini sisi kama taifa tumeachwa pale pale tulipokuwa Mwaka 2008.

Kwa kuwa kuna Mahakama ya Mafisadi inaundwa na sisi kama taifa tunayumbishwa na suala la mtu mmoja tu, ambaye si kiongozi wa serikali kwa sasa, nashauri Kesi ya Kwanza kwenye Mahakama ya Mafisadi iwe ni hii ya "Ufisadi" wa Edward Ngoyai Lowassa kuhusu Ufisadi wa zabuni ya ufuaji umeme iliyosababisha Sakata la richmond.

Ni lazima Lowassa ashitakiwe ili kama yeye anao ushahidi tofauti na ule ambao wapinzani wake wanao aje nao mahakamani ili upimwe kwenye mizani ya kisheria tujue nani mkweli kati yake yeye na wapinzani wake.

Haiwezekani mitambo ile iliyoletwa na Kampuni (Feki?) ya Richmond bado ipo nchini mwetu, inafua umeme, Tannesco wanalipa Capacity charges tanesco wanauziwa umeme kutokana na mitambo ile ile iliyokuwa ya Richmond, mkataba ule ule wa kati ya Richmond na Tannesco ndiyo umekuwa ukihuhishwa na Dowans na sasa Symbion, lakini sisi kama taifa bado tunakumbushana mambo ya mwaka 2008.

Kuukata Mzizi wa fitina ni lazima Lowassa na kama wapo na wengine waliohusika na sakata la Richmond wafikishwe kwenye Mahakama ya mafisadi mara tu Mahakama hiyo itakapoanza kazi. Tunataka Kesi ya kwanza kwenye mahakama hiyo iwe dhidi ya Lowassa na wenzake waliohusika na suala la Richmond.

KESI YA LOWASSA ISIPOKUWA YA KWANZA KWENYE MAHAKAMA YA MAFISADI NITASHANGAA KWELI KWELI!!
Unaweza ukawa na POINT lakini unapotaka kutuaminisha FISADI ni mmoja unakosea.... Baada ya yeye kuondoka serikalini hakujafanyika UFISADI..??

ESCROW amehusika EL?
Ningeelewa kama ungesema wote washitakiwe
 
Kiashiria cha udhaifu kwa binadamu wakati mwingine ni pale anaposhindwa kulifikisha mwisho jambo la muhimu analotakiwa kulikamilisha. Sisi kama taifa tumekuwa tunatangatanga na Jambo lililosababishwa na mtu mmoja tu na sisi kama taifa tumeshindwa kufikia mwisho wake.

Tarehe 7/2/2008 aliyekuwa Waziri wa Mkuu wa Tanzania wakati ule, Edward Ngoyai Lowassa alijiuzulu wadhifa wake baada ya kutuhumiwa kuingilia mchakato wa Zabuni ya Ufuaji Umeme iliyosababisha kuletwa kwa Kampuni ya Ufuaji Umeme ya Richmond nchini. Tangu kujiuzulu kwa Lowassa mpaka sasa imeshapita miaka zaidi ya 8 na miezi kadhaa, lakini bado suala la sakata la Richmond halijaisha

Mitambo iliyoletwa na Kampuni ya Richmond ambayo bado ipo Pale Pale ilipofungwa na Kampuni ya Richmond, imeshabadilishwa umiliki wake mara mbili. Imetoka kwa Richmond ikanunuliwa na Dowans na sasa inamilikiwa na Kampuni ya Symbion ya Marekani. Lakini sisi kama taifa tumeachwa pale pale tulipokuwa Mwaka 2008.

Kwa kuwa kuna Mahakama ya Mafisadi inaundwa na sisi kama taifa tunayumbishwa na suala la mtu mmoja tu, ambaye si kiongozi wa serikali kwa sasa, nashauri Kesi ya Kwanza kwenye Mahakama ya Mafisadi iwe ni hii ya "Ufisadi" wa Edward Ngoyai Lowassa kuhusu Ufisadi wa zabuni ya ufuaji umeme iliyosababisha Sakata la richmond.

Ni lazima Lowassa ashitakiwe ili kama yeye anao ushahidi tofauti na ule ambao wapinzani wake wanao aje nao mahakamani ili upimwe kwenye mizani ya kisheria tujue nani mkweli kati yake yeye na wapinzani wake.

Haiwezekani mitambo ile iliyoletwa na Kampuni (Feki?) ya Richmond bado ipo nchini mwetu, inafua umeme, Tannesco wanalipa Capacity charges tanesco wanauziwa umeme kutokana na mitambo ile ile iliyokuwa ya Richmond, mkataba ule ule wa kati ya Richmond na Tannesco ndiyo umekuwa ukihuhishwa na Dowans na sasa Symbion, lakini sisi kama taifa bado tunakumbushana mambo ya mwaka 2008.

Kuukata Mzizi wa fitina ni lazima Lowassa na kama wapo na wengine waliohusika na sakata la Richmond wafikishwe kwenye Mahakama ya mafisadi mara tu Mahakama hiyo itakapoanza kazi. Tunataka Kesi ya kwanza kwenye mahakama hiyo iwe dhidi ya Lowassa na wenzake waliohusika na suala la Richmond.

KESI YA LOWASSA ISIPOKUWA YA KWANZA KWENYE MAHAKAMA YA MAFISADI NITASHANGAA KWELI KWELI!!
haendi popote

wapelekwe woooooooote
12112264_158643821149630_1305897897989281167_n.jpg
hao hapo juu
 
Imagine unampeleka Lowassa Mahakamani halafu anapata Mawakili huku Lissu kule Kibatala
Hahaa haa haaa, Siasa ni mchezo wa ajabu sana, wee humuoni hata Magu kazigusa ofisi kibao kwa ufisadi lakini watu wa Tanroads, TBA na Wizara ya Ujenzi mpaka sasa zinaonekana hazijawahi kuwa na makosa yeyote ya Kifisadi
 
Nimewaelewa sana ,ila tusahau Serikali hii iliyo jiapiza kuwafunga Mafisadi kama itathubutu kufanya hivi..Unafikiri Mfalme atathubutu kufukua Makaburi?...Alishaapa na kujiapiza(pamoja na kuwepo kinga Kikatiba) kuwalinda Wafalme wastaafu ...

Lile lilikuwa ni zengwe la kisiasa na mission ya muda mrefu kukata watu kwa sababu Mfalme wa wakati ule alikuwa na jina lake mfukoni....

Zengwe la kisiasa hasaaa!

Halafu hawa proCCM wanaopiga kelele humu wanadhani EL ni mjinga na mwendawazimu asiyejijua!!

Wakuu wa UFISADI wa CCM wa pahali pa patatifu pa watakatifu wanajua hilo na kamwe hawawezi kuingiza vichwa vyao kati kati ya mzinga wa nyuki kamwe!!
 
Mtoa post acha unazi umesha ambiwa wastaafu wote watalindwa kuna mini tena,?mwacheni mzee wa watu apumnzike msitake kufufua makaburi.yapo ya akina epa ,lugoda,melemeta,escrol hadi akina chavda kama unakumbukumbu,lugumi.zote hizi ni eddo au why eddo than others au jicho lako Luna site upande mmoja tu.usifukue makaburi.yatakayoiba sasa ndo yashughulikiwe
 
Mtoa post acha unazi umesha ambiwa wastaafu wote watalindwa kuna mini tena,?mwacheni mzee wa watu apumnzike msitake kufufua makaburi.yapo ya akina epa ,lugoda,melemeta,escrol hadi akina chavda kama unakumbukumbu,lugumi.zote hizi ni eddo au why eddo than others au jicho lako Luna site upande mmoja tu.usifukue makaburi.yatakayoiba sasa ndo yashughulikiwe
 
Ndugu umekulupuka usingizini kalale uendele kuota kama kampuni feki mbona mitambo yao inazidi tumika kufua umeme na hata zabuni zkitolewa kwa wawekezaji ili kufua umeme wanatumia mitambo yao ndo swali ujiulize hapo kuna mengi Me naona Tuanze na Chenga mzee wa vijisenti ni hayo tu kila dili kacheza utajiuliza kaweza kudalalia taiga kuna sakata LA rada ya taifa na mengine tuanze mwanzo Ila na Fulani niliposikia kauli moja ikisema wewe ntakulinda kwani ni jukumu langu ondoa wasiwasi hapo tambua wanalindwa wote mikataba yao inayowekwa ni sawa na mkataba ya yanga tu kukodisha timu sasa wengine wameshakodisha taifa.

Sent from my nokia note3+ using JamiiForums mobile app
 
Tumezichoka hizo porojo kila siku hakuna kinachoendelea zaid ya kutufanya ngaz ya mafanikio kisiasa
 
Kiashiria cha udhaifu kwa binadamu wakati mwingine ni pale anaposhindwa kulifikisha mwisho jambo la muhimu analotakiwa kulikamilisha. Sisi kama taifa tumekuwa tunatangatanga na Jambo lililosababishwa na mtu mmoja tu na sisi kama taifa tumeshindwa kufikia mwisho wake.

Tarehe 7/2/2008 aliyekuwa Waziri wa Mkuu wa Tanzania wakati ule, Edward Ngoyai Lowassa alijiuzulu wadhifa wake baada ya kutuhumiwa kuingilia mchakato wa Zabuni ya Ufuaji Umeme iliyosababisha kuletwa kwa Kampuni ya Ufuaji Umeme ya Richmond nchini. Tangu kujiuzulu kwa Lowassa mpaka sasa imeshapita miaka zaidi ya 8 na miezi kadhaa, lakini bado suala la sakata la Richmond halijaisha

Mitambo iliyoletwa na Kampuni ya Richmond ambayo bado ipo Pale Pale ilipofungwa na Kampuni ya Richmond, imeshabadilishwa umiliki wake mara mbili. Imetoka kwa Richmond ikanunuliwa na Dowans na sasa inamilikiwa na Kampuni ya Symbion ya Marekani. Lakini sisi kama taifa tumeachwa pale pale tulipokuwa Mwaka 2008.

Kwa kuwa kuna Mahakama ya Mafisadi inaundwa na sisi kama taifa tunayumbishwa na suala la mtu mmoja tu, ambaye si kiongozi wa serikali kwa sasa, nashauri Kesi ya Kwanza kwenye Mahakama ya Mafisadi iwe ni hii ya "Ufisadi" wa Edward Ngoyai Lowassa kuhusu Ufisadi wa zabuni ya ufuaji umeme iliyosababisha Sakata la richmond.

Ni lazima Lowassa ashitakiwe ili kama yeye anao ushahidi tofauti na ule ambao wapinzani wake wanao aje nao mahakamani ili upimwe kwenye mizani ya kisheria tujue nani mkweli kati yake yeye na wapinzani wake.

Haiwezekani mitambo ile iliyoletwa na Kampuni (Feki?) ya Richmond bado ipo nchini mwetu, inafua umeme, Tannesco wanalipa Capacity charges tanesco wanauziwa umeme kutokana na mitambo ile ile iliyokuwa ya Richmond, mkataba ule ule wa kati ya Richmond na Tannesco ndiyo umekuwa ukihuhishwa na Dowans na sasa Symbion, lakini sisi kama taifa bado tunakumbushana mambo ya mwaka 2008.

Kuukata Mzizi wa fitina ni lazima Lowassa na kama wapo na wengine waliohusika na sakata la Richmond wafikishwe kwenye Mahakama ya mafisadi mara tu Mahakama hiyo itakapoanza kazi. Tunataka Kesi ya kwanza kwenye mahakama hiyo iwe dhidi ya Lowassa na wenzake waliohusika na suala la Richmond.

KESI YA LOWASSA ISIPOKUWA YA KWANZA KWENYE MAHAKAMA YA MAFISADI NITASHANGAA KWELI KWELI!!
Waanze na Change kama walipewa zuio la kudumu LA kutomshitaki na kumhoji kamati ya maadili,wataweza kwa Lowassa?
 
Ndiyo maana sisi wengine ambao tunaiona hii serikali ni Imara tunaihamasisha wampeleke Lowassa kwenye Mahakama ya Ufisadi, kinyume cha hapo wakae kimya!!
kuna watu ambao wamedalalia taifa ili kila dili yupo kwanzia ya mwaka 1999's mpaka tegeta escrow uko hao ndo wakudili nao alafu ukizungumzia swala kama ilo ondoa ukada weka pembeni zungumza kwa niaba ya taifa zima tuwakilishe bila kuangalia chochote kilee dini au uchama .

Sent from my Samsung galasa + using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom