Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,917
- 33,495
Ndio huyo sasa yuko ndani ya nyumba hapo ufipaafadhali Maalim Seif awe Rais kuliko huyu.
Ndio huyo sasa yuko ndani ya nyumba hapo ufipaafadhali Maalim Seif awe Rais kuliko huyu.
Nyumbu mama yakoHahahahha.. Leo unaumbuka na ndio mgombea wako huyo wa huko kwa manyumbu chadema
Nq utapanic sana! Nyarandu ndio huyo uko nae na ni mgombea wenu huyo!Nyumbu mama yako
Nguruwe nyieNq utapanic sana! Nyarandu ndio huyo uko nae na ni mgombea wenu huyo!
Tukiwaonya acheni ushabiki wa kijinga hamtaki kusikia.
Mtakula sana matapishi nyumbu nyie
Huyu naye juzi kwenye "party" aliyoifanya pale kwake usiku aliamua kueleza wazi kwa watu wake kuwa serikali ya USA imempitisha kuwa ndiye aje kuwa rais wa TZ 2015
Sasa kama mjuavyo mheshimiwa pesa anayo lakini je hiii kutuambia kuwa serikali ya USA inamtaka aje kuwa rais wetu inaingia akilini kweli?
Kumbe zile tripu zake za kwenda "kula DINA" kwa balozi usiku ni za ku lobi apitishwe na serikali ya Jaluo awe rais wetu?
sasa je mmejiandaa vipi wana JF na "RAIS" Lazaro Nyalandu? Je kati ya Membe, Lowasa na Nyalandu nani anafaa zaidi?
Unapokuwa umelogwa alafu aliyekuloga kafa inamaana uwezi kuaguliwa tena.
Huyu naye juzi kwenye "party" aliyoifanya pale kwake usiku aliamua kueleza wazi kwa watu wake kuwa serikali ya USA imempitisha kuwa ndiye aje kuwa rais wa TZ 2015
Sasa kama mjuavyo mheshimiwa pesa anayo lakini je hiii kutuambia kuwa serikali ya USA inamtaka aje kuwa rais wetu inaingia akilini kweli?
Kumbe zile tripu zake za kwenda "kula DINA" kwa balozi usiku ni za ku lobi apitishwe na serikali ya Jaluo awe rais wetu?
sasa je mmejiandaa vipi wana JF na "RAIS" Lazaro Nyalandu? Je kati ya Membe, Lowasa na Nyalandu nani anafaa zaidi?
Halafu ikawaje?,
Huyu naye juzi kwenye "party" aliyoifanya pale kwake usiku aliamua kueleza wazi kwa watu wake kuwa serikali ya USA imempitisha kuwa ndiye aje kuwa rais wa TZ 2015
Sasa kama mjuavyo mheshimiwa pesa anayo lakini je hiii kutuambia kuwa serikali ya USA inamtaka aje kuwa rais wetu inaingia akilini kweli?
Kumbe zile tripu zake za kwenda "kula DINA" kwa balozi usiku ni za ku lobi apitishwe na serikali ya Jaluo awe rais wetu?
sasa je mmejiandaa vipi wana JF na "RAIS" Lazaro Nyalandu? Je kati ya Membe, Lowasa na Nyalandu nani anafaa zaidi?
mkuu vipi tenaNyumbu mama yako
Ana hasira akifikiria wagombea wote waliojitokeza kupitia chama chake ni wasaniimkuu vipi tena
Si lazima Rais atoke CCM.......Wote hawafai
Hii uliandika mwaka 2012, Je umeshajifunza sasa kwanini Boss anakuwa hivyo alivyo?Kuna watu wanaojipima uwezo wao kutokana na wale waliowaweka hapo. Hata mimi,kuna wakati nimesema kama bosi wangu ndo yuko hivi basi mimi naweza kama yeye na zaidi yake na wakati mwingine najiuliza alifikaje hapo,akili haielewi kabisa... Kama aliyeko madarakani ameweza kuwa alipo,nafikiri Mh Nyalandu haoni sababu ya yeye kutofika hapo. simple logic, kazi ni kwetu watanzania,kuamua tunataka kiongozi wa namna gani ajaye,mwenye ubora upi na aliyelelewa katika misingi ipi,namuomba Mungu atusaidie,haya tunayokutana nayo,yatufundishe na yatusaidie kutamani viongozi bora zaidi kwa gharama zote.