Tungekuwa tumeshauzwa! Jpm anafaa.Tungekua na katiba nzuri, huyu jamaa angetufaa sana, msomi mzuri na anajua dunia inavyo kwenda.
Lazaro nyalandu nampa 100% angefanya vizuri kuliko unaye mtetea . Ila kama tungekua na katiba nzuriTungekuwa tumeshauzwa! Jpm anafaa.
Baba J hajui dunia inavyozunguka jman!!!Tungekua na katiba nzuri, huyu jamaa angetufaa sana, msomi mzuri na anajua dunia inavyo kwenda.
Kumtembelea lissu imekuwa tabuMheshimiwa wa kutafuta Kiki kupitia majanga ya wengine
Jimboni kwake shida tupu. Kutwa kiguu na njia. 2020 mumuchukue huko CHADEMA ss huku tushamchokaKumtembelea lissu imekuwa tabu
Ova
Bangi itakufikisha pabaya sana dogoAngekwenda huko marekani wanakomtaka.
Huyu naye juzi kwenye "party" aliyoifanya pale kwake usiku aliamua kueleza wazi kwa watu wake kuwa serikali ya USA imempitisha kuwa ndiye aje kuwa rais wa TZ 2015
Sasa kama mjuavyo mheshimiwa pesa anayo lakini je hiii kutuambia kuwa serikali ya USA inamtaka aje kuwa rais wetu inaingia akilini kweli?
Kumbe zile tripu zake za kwenda "kula DINA" kwa balozi usiku ni za ku lobi apitishwe na serikali ya Jaluo awe rais wetu?
sasa je mmejiandaa vipi wana JF na "RAIS" Lazaro Nyalandu? Je kati ya Membe, Lowasa na Nyalandu nani anafaa zaidi?
Ukiwa unatumia bidhaa flani usidhani kila mtu ni mteja kama wewe.Bangi itakufikisha pabaya sana dogo