Lawrence Mafuru, NBC's MD cleared of charges, recalled

Kwa hili nakubaliana nawe! Time will tell ngoja tusubiri tu! Kwa wanaokumbuka story ya BADE aliyeteuliwa kukaa pale TRA juzi juzi wanafahamu michezo ya Barclays. Hapa nadhani wametaka ku-manage reputational risks kwa NBC ambayo ni subsidiary ya barclays, haikuwa timing nzuri kumfukuza huyu bwana hasa ukizingatia scandal ya Bob Diamond London.
Banking industry ni very sensitive hata kwa speculation tu. Huwezi kumwachisha kazi MD hivi hivi tu halafu ukategemea benki haita-shake. Huenda ni kweli amekutwa hana hatia hivyo anaendelea na kazi zake. Au pia kakutwa na hatia ila wamemrudisha huku tayari wakiwa na exit plan yake ambayo iko mutually agreeed sometimes na kwa baada ya muda fulani ataondoka mwenyewe kwa heshima au kupangiwa kazi nyingine na nyie wateja mtakuwa mnajua kuwa ni kitu cha kawaida tuu kimefanyika na hakuna haja ya wasiwasi. BTW, did you know suspension ya Mafuru ilivyowapanikisha wateja wa NBC?
 
Two months of investigation?All that time,he was on administrative leave? I like it, stay home n get paid. This government is DHAIFU.

This was not a decision by the government of Tanzania but the Board of Directors of NBC whose majority shareholder is ABSA of RSA.
 
Mkuu Mkandara,
Kwa level yake aliyokuwa amefikia, hata kama ana hatia hawezi kutimuliwa kama kibaka. Hii ita-shake confidence ya stakeholders wa NBC kuwa mambo si mambo na inaweza kuwa na impact kubwa sana kwa benki. Watakachofanya ni kum-phase out taratibu tuu. Mkuu, usisahau mkubwa ni mkubwa tu. Inatokea kwenye corporates nyingi tu mbona hii. Fuatilia telecom, brewery, mining utagundua mabadiliko mengine ya management yanatoka na wizi, ubadhirifu na vitendo vingine visivyofaa kwenye kampuni lakini husikii mtu kavishwa tairi na kupigwa kiberiti wala kaburuzwa mahakama ya mwanzo buguruni kabla kesi haijaamishiwa Kisutu.
Labda huko Afrika lakini sio huku majuu kwenye sheria huyu jamaa asingetoka.. Na kwa kuboresha ufanisi benki ingemchukua mtu mwigine mwenye sifa kubwa ziadi na hivyo kuongeza umaarufu wa benki hii maana ssasa inatuonyesha wazi kwamba unaweza kuiba NBC na ukashinda kesi.. Very bad image na binafsi siwezi kuweka fedha zangu huko maana najua jamaa kaiba na kashinda kesi. NBC sasa hivi inatumiwa na serikali zaidi lakini sio Wafanyabiashara. kama sii wafanyakazi wa serikali benki hii ingeisha kwenda na maji, ukweli huo hauwezi kuepukika na ifike mahala Ufisadi ulaaniwe -Sio sifa nzuri hata kidogo..
 
Hili Linchi hili sijui lin litakombolewa haswa. Huyu Jama watu wote wanajua kaiba kweli lakini ushahidi ati hakuna na anarudishwa kazini halafu anapongezwa na watu kwa kushinda kesi wakijua wazi hakuna haki Mahakama zetu, fedha itanunua hukumu.
- Mwaka 2015 hakuna Ukombozi, bila shaka CCM itarudi mwaka 2015 naanza kuamini hivyo..

Toa ushaihidi wa kile alichoiba. Unataka kusema wewe unajua zaidi kuliko wale waliochunguza tuhuma zilizoelekezwa kwake?
 
Mkuu Mkandara,
Kwa level yake aliyokuwa amefikia, hata kama ana hatia hawezi kutimuliwa kama kibaka. Hii ita-shake confidence ya stakeholders wa NBC kuwa mambo si mambo na inaweza kuwa na impact kubwa sana kwa benki. Watakachofanya ni kum-phase out taratibu tuu. Mkuu, usisahau mkubwa ni mkubwa tu. Inatokea kwenye corporates nyingi tu mbona hii. Fuatilia telecom, brewery, mining utagundua mabadiliko mengine ya management yanatoka na wizi, ubadhirifu na vitendo vingine visivyofaa kwenye kampuni lakini husikii mtu kavishwa tairi na kupigwa kiberiti wala kaburuzwa mahakama ya mwanzo buguruni kabla kesi haijaamishiwa Kisutu.

I dont agree with your line of reasoning. The mere act of suspending Mr. Mafuru would have shaken the confidence of NBC customers, and this hapenned. After a period of two months many people had already started forgetting about Mafuru. He did not matter anymore. The act of getting him back to the very position he was accused of abusing sends a clear message that the Board of Directors has cleared the guy and in fact they have more confidence in him. They support all the "so called bad things" that he was accused of doing.
 
Toa ushaihidi wa kile alichoiba. Unataka kusema wewe unajua zaidi kuliko wale waliochunguza tuhuma zilizoelekezwa kwake?
Nitoe ushahidi vipi wee unaishi nchi gani mkuu wangu. Kuiba kaiba kweli sasa miye nitoe ushahidi upi wakati ushahidi anao yeye mwenyewe..Hii ni ishara mbaya sana kwa benki ya NBC maana wananchi hawaishi kwa kusikiliza redio na mahakama. Nina hakika wananchi hawatakuwa na imani na fedha zao tena kuwekwa benki hiyo.
 
Nitoe ushahidi vipi wee unaishi nchi gani mkuu wangu. Kuiba kaiba kweli sasa miye nitoe ushahidi upi wakati ushahidi anao yeye mwenyewe..Hii ni ishara mbaya sana kwa benki ya NBC maana wananchi hawaishi kwa kusikiliza redio na mahakama. Nina hakika wananchi hawatakuwa na imani na fedha zao tena kuwekwa benki hiyo.

Hapo sikuelewi. Yaani alichokiiba anajua yeye mwenyewe na si yeyote anayemtuhumu? Sasa kwa nini walisema ameiiba....?
 
Hapo sikuelewi. Yaani alichokiiba anajua yeye mwenyewe na si yeyote anayemtuhumu? Sasa kwa nini walisema ameiiba....?
Hutanielewa.. Kwanza mimi sizungumzii ya mahakamani maana najua fika mwenye fedha atashinda kesi zote Tanzania. na hata wale majambazi wanaoiba benki kwa silaha hakuna hata siku moja fedha zilizoibiwa zimepatikana. Hii ndio Tanzania yetu, watu wanaiba na kusifiwa. Lakini hiki kitendo cha benki kumrudisha kazini mtu alokisiwa kuiba na wananchi wanajua kaiba kweli, unafikiri watawekaje fedha zako benki hiyo hiyo akirudishwa kazini?.. Sielewi hii confidence mnaitazama vipi, jiulize wewe kwanza, kweli utaweka fedha zako mahala ambapo unajua fika Managing Director wake anapiga mabao? Hivi unajua kwa nini Lowassa alijiuzuru?.. Kwa nini mashrika makubwa Ulaya humwachisha kazi CEO zinapotokea tu tuhuma dhidi yake acha mbali kushtakiwa...
 
Hongera sana Mafuru,urudi a mtazamo mpya na fagio....pambana kurudisha hadhi ya Bank,maana mmepata hasara mwaka huu!!kazi ipo mbele!
 
ROHO mbaya yako tu na ujue hizo ni dua za kuku hazimpati mwewe.uliona wapi jogoo anakufa kwa utitiri???

ROHO MBAYA YANGU UNAIJUAJE? Hawa watu (NBC na Mafuru) ilibidi wafike compromise kwa kila upande. Kumfukuza MD kwa benki sio kitu kizuri kibiashara. Msidhani kuwa kurudi kwake ndio kumemfutia tuhuma. Trust me his contract is up come December. Whether you hate me or like me is another matter altogether.
 
Hutanielewa.. Kwanza mimi sizungumzii ya mahakamani maana najua fika mwenye fedha atashinda kesi zote Tanzania. na hata wale majambazi wanaoiba benki kwa silaha hakuna hata siku moja fedha zilizoibiwa zimepatikana. Hii ndio Tanzania yetu, watu wanaiba na kusifiwa. Lakini hiki kitendo cha benki kumrudisha kazini mtu alokisiwa kuiba na wananchi wanajua kaiba kweli, unafikiri watawekaje fedha zako benki hiyo hiyo akirudishwa kazini?.. Sielewi hii confidence mnaitazama vipi, jiulize wewe kwanza, kweli utaweka fedha zako mahala ambapo unajua fika Managing Director wake anapiga mabao? Hivi unajua kwa nini Lowassa alijiuzuru?.. Kwa nini mashrika makubwa Ulaya humwachisha kazi CEO zinapotokea tu tuhuma dhidi yake acha mbali kushtakiwa...

Wananchi gani wanajua aliiba? Mbona mwenye chake amesema hakikupotea kitu? Swala la Lowasa lilikuwa wazi kabisa kuwa alikuwa ameingiza mikono michafu kwenye mchakato wa kupata umeme Tanzania. Kumbuka kuwa yeye tuhuma peke yake hazikumfanya ajiuzuru bali uchunguzi kama aliofanyiwa Mafuru ndiyo uliofanya ajiuzuru. Kwa hiyo Lowasa hakuwa HERO bali ni kama alifukuzwa.
 
kwanini vijana tu ndio wamekua wakipata "ajali" za kikazi bongo?maana hata rished bade niliona humu watu wakidai yalimpata kama haya barclays lakini leo ni mkubwa no 2 wa mamlaka ya apato yote ya tanzania,tuache kuwafanyia majungu vijana,hii hata kwenye siasa naiona upande wa zitto kabwe na fitna anazofanyiwa.
 
ROHO MBAYA YANGU UNAIJUAJE? Hawa watu (NBC na Mafuru) ilibidi wafike compromise kwa kila upande. Kumfukuza MD kwa benki sio kitu kizuri kibiashara. Msidhani kuwa kurudi kwake ndio kumemfutia tuhuma. Trust me his contract is up come December. Whether you hate me or like me is another matter altogether.
sawa bwana, it seems uko jikoni na unalifahamu vizuri sakata lote.
 
Naamini waliochunguza wamefanya kazi yao kwa umakini,na jamaa hajakutwa na kosa,sasa ni wakati wa kuchapa kazi tu..hongera zake mafuru
 
Nitoe ushahidi vipi wee unaishi nchi gani mkuu wangu. Kuiba kaiba kweli sasa miye nitoe ushahidi upi wakati ushahidi anao yeye mwenyewe..Hii ni ishara mbaya sana kwa benki ya NBC maana wananchi hawaishi kwa kusikiliza redio na mahakama. Nina hakika wananchi hawatakuwa na imani na fedha zao tena kuwekwa benki hiyo.

Naamini mkuu Mkandara hujui mtu anayezungumziwa hapa, na hujui essence hata ya allegations alizotuhumiwa nazo na sijui kitu gani kinachokufanya uamini unachoamini! Lawrence Mafura ni mtu wa principle na mtu mwenye hofu ya Mungu sana na si mtu wa tamaa ya fedha kama unavyotaka kumuona/kumfikiria. Tuhuma alizobebeshwa zinatokana na wafanyakazi wazembe wasiotaka kuwajibika na zaidi wanaopenda kufanya kazi kwa mazoea! Ukibahatika kuongea na wafanyakazi wa NBC wenyewe hata watakwambia ni watu wa aina gani waliosherehekea Lawrence kusimamishwa kazi wakijua uzito wa tuhuma feki walizomtengenezea zingemuondoa! Lakini Mungu wetu anayehukumu kwa haki amemtenga na kila mtego wa adui He is back pengine stronger zaidi ya alivyokuwa mwanzo na nafikiri mtaendelea kulisikia jina lake hapo kwa muda mrefu zaidi!
 
Naamini mkuu Mkandara hujui mtu anayezungumziwa hapa, na hujui essence hata ya allegations alizotuhumiwa nazo na sijui kitu gani kinachokufanya uamini unachoamini! Lawrence Mafura ni mtu wa principle na mtu mwenye hofu ya Mungu sana na si mtu wa tamaa ya fedha kama unavyotaka kumuona/kumfikiria. Tuhuma alizobebeshwa zinatokana na wafanyakazi wazembe wasiotaka kuwajibika na zaidi wanaopenda kufanya kazi kwa mazoea! Ukibahatika kuongea na wafanyakazi wa NBC wenyewe hata watakwambia ni watu wa aina gani waliosherehekea Lawrence kusimamishwa kazi wakijua uzito wa tuhuma feki walizomtengenezea zingemuondoa! Lakini Mungu wetu anayehukumu kwa haki amemtenga na kila mtego wa adui He is back pengine stronger zaidi ya alivyokuwa mwanzo na nafikiri mtaendelea kulisikia jina lake hapo kwa muda mrefu zaidi!
Mkuu wangu Mafuru ni mtu wa Home na bahati mbaya unazungumza na Mkandara asiyekuwa na Unafiki. Binafsi yangu sijali kesi yake ameshinda au hakushinda maana Tanzania hakuna Fisadi alowahi kukutwa na makosa anyway...Nachosema mimi ni kwamba Inapotokea CEO wa benki anashutumiwa kwa Ufisadi ni makosa makubwa sana kumrudisha kazini.

Chukulia mfano yule mzee CEO wa IMF alotuhumiwa kubaka mfanyakazi Hoteli Marekani na kisha kesi nyingine huko Ufaransa. Alisimamishwa kazi na hakurudi kazini hata baada ya kushinda kesi maana tayari jina lake limeisha weka doa. Huyu mtu hakufanya lolote wala kutuhumiwa wizi au ufisadi ndani ya IMF lakini hataweza kurudi IMF tena..hata kugombea Urais Ufaransa itakuwa shida. Matujkio haya huharibu reputation ya chombo chenyewe na sii mtu, hivyo ni lazima kukaa mbali na mtuhumiwa regardless.

Uchapa kazi hata Lowassa Mchapakazi, kuna watu wanasema Mkapa alikuwa mchapa kazi kuliko hata Nyerere lakini kumbuka UONGOZI haupimwi kwa kuchapa kazi yeye isipokuwa uwezo wake wa ku organise watu ili kufikia malengo yalokusudiwa. Kiongozi anatakiwa kuwa na charisma, makini na atapimwa uwezo wake kwa nguvu yake ya ku - interact, behavior - tabia njema na sii kujiskia, visionary na Mtu wa watu.. Tofauti kabisa na mtaalam anayetumia elimu yake kufanya kazi huyu haitaji urafiki.

NBC ni bemki inayoendeshwa kwa ruzuku kila miaka, na hivyo huwezi nambia lolote kuhusu Benki hiyo ikiwa mimi najua kuna wizi mkubwa sana umefanyika ktk benki hizo..Na ktk wizi huo huwezi kumwondoa COE kuwa yeye anasingiziwa kiwa yeye ndiye kiongozi na nyuma yake kuna madudu kibao..He my men lakini hii tabia ya Ujamaa wa Nyerere kupeana peana hata kama mtu kaharibu anabadilishwa wizara au shrika kusema kweli sikubaliani nayo.. Sema tu nafanya makosa kuandika haya kijiweni lakini well ndio ukweli..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom