Lawrence Mafuru, NBC's MD cleared of charges, recalled

Huyu asad ni mdini balaa.alitaka kumweka mwislam pale nbc.nenda kote ambako ni board member udini umetamalaki.huyu ni sawa na shetani
 
lawrence mafuru - md wa nbc bank amerudi kuendelea na wadhifa wake baada ya kutokutwa na hatia yoyote kutokana na tuhuma alizopewa. Jamani hivi tutaendelea kweli kama watu watakuwa wanaendeleza chuki, fitina na majungu?

siku zote penye ukweli uongo ujitenga....
 
Congratulations Mr. Mafuru, I knew you will be cleared coz i had too much faith in you. The other time i wrote in the thread that ''You are one of the young Chief Executives who showed the old guards that given the chance, we can deliver''. Big Up Bra.
 
Two months of investigation?All that time,he was on administrative leave? I like it, stay home n get paid. This government is DHAIFU.

Hata wewe unaweza kujaribu utapewa two months paid leave then utarudishwa kazini. Jamaa nyota yake inang'aa Hata Kama hutaki...
 
Hata wewe unaweza kujaribu utapewa two months paid leave then utarudishwa kazini. Jamaa nyota yake inang'aa Hata Kama hutaki...

Mkuu haujanielewa, mimi nimekosoa serikali DHAIFU kwa kufanya kazi ya majungu ambayo yameingiza hasara.
 
Lawrence Mafuru - MD wa NBC Bank amerudi kuendelea na wadhifa wake baada ya kutokutwa na hatia yoyote kutokana na tuhuma alizopewa. Jamani hivi tutaendelea kweli kama watu watakuwa wanaendeleza chuki, fitina na majungu?


May be it is: "Between the two evils choose the lesser one'. unaweza kukuta kakosea sasa inakuwa kumtoa ni mbaya zaidi kuliko kumwacha.
 
Nilisikitika sana nilivyosikia hivyo. Mbaya zaidi familia yake kila nikikumbuka zile picha za watoto wake pale ofisini kwake nahisi kama ni mimi aisee

Board of Directors bwana. Ndio maama sisi wachaga makampuni yetu tunaendesha kifamilia No stress

Mkuu hii ya picha ilikuwaje?
 
waliomfanyia fitina sasa wajiandae maana kisasi chake lazima watu waondoke!!
anyways always ukweli hujitenga na uongo..go on mafuru
Huo mfukuzano utakaotembea huku NBC ni zaidi ya ule wa Mbatia na Kafulila kama sio ule wa CDM na baazi ya madiwani wa Arusha
 
Nafasi za juu siku zote hazitegemei competence tu bali siasa vilevile (Organazational Politics) jamaa lazima awe makini na ajipange sasa kwenye hizo siasa otherwise atapigwa chini tu tena all in all it's good to see our fellow TZ brother is heading that bank again
 
Huo mfukuzano utakaotembea huku NBC ni zaidi ya ule wa Mbatia na Kafulila kama sio ule wa CDM na baazi ya madiwani wa Arusha

Mkuu Mafuru's very smart guy.. Haitaji kumfukuza yeyote pale NBC.. Wataondoka wenyewe na aibu zao.. Walishirikiana na baadhi ya wazungu kumtengenezea majungu Mafuru.. mwisho wa ciku imekula kwao..
 
Hili Linchi hili sijui lin litakombolewa haswa. Huyu Jama watu wote wanajua kaiba kweli lakini ushahidi ati hakuna na anarudishwa kazini halafu anapongezwa na watu kwa kushinda kesi wakijua wazi hakuna haki Mahakama zetu, fedha itanunua hukumu.
- Mwaka 2015 hakuna Ukombozi, bila shaka CCM itarudi mwaka 2015 naanza kuamini hivyo..
 
Banking industry ni very sensitive hata kwa speculation tu. Huwezi kumwachisha kazi MD hivi hivi tu halafu ukategemea benki haita-shake. Huenda ni kweli amekutwa hana hatia hivyo anaendelea na kazi zake. Au pia kakutwa na hatia ila wamemrudisha huku tayari wakiwa na exit plan yake ambayo iko mutually agreeed sometimes na kwa baada ya muda fulani ataondoka mwenyewe kwa heshima au kupangiwa kazi nyingine na nyie wateja mtakuwa mnajua kuwa ni kitu cha kawaida tuu kimefanyika na hakuna haja ya wasiwasi. BTW, did you know suspension ya Mafuru ilivyowapanikisha wateja wa NBC?
 
Hili Linchi hili sijui lin litakombolewa haswa. Huyu Jama watu wote wanajua kaiba kweli lakini ushahidi ati hakuna na anarudishwa kazini halafu anapongezwa na watu kwa kushinda kesi wakijua wazi hakuna haki Mahakama zetu, fedha itanunua hukumu.
- Mwaka 2015 hakuna Ukombozi, bila shaka CCM itarudi mwaka 2015 naanza kuamini hivyo..

Mkuu Mkandara,
Kwa level yake aliyokuwa amefikia, hata kama ana hatia hawezi kutimuliwa kama kibaka. Hii ita-shake confidence ya stakeholders wa NBC kuwa mambo si mambo na inaweza kuwa na impact kubwa sana kwa benki. Watakachofanya ni kum-phase out taratibu tuu. Mkuu, usisahau mkubwa ni mkubwa tu. Inatokea kwenye corporates nyingi tu mbona hii. Fuatilia telecom, brewery, mining utagundua mabadiliko mengine ya management yanatoka na wizi, ubadhirifu na vitendo vingine visivyofaa kwenye kampuni lakini husikii mtu kavishwa tairi na kupigwa kiberiti wala kaburuzwa mahakama ya mwanzo buguruni kabla kesi haijaamishiwa Kisutu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom