MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Wapendwa hamjambo?
Ninaomba mnisaidie kufikiri maana sasa naiona dunia ya mapenzi kama uwanja wa fujo tu ambao natamani kama ningeweza kujiepusha nao niuepuke.
Nimesoma na kusikia visa vingi sana vya mapenzi ila ambacho ninashindwa kukielewa lawama nimtupie nani ni hiki cha mtu na shemeji yake!! Yaani iwe
1. mke kutembea na shemeji yake i.e. kaka/mdogo/binamu wa mume wake
2. Mume kutembea na shemejiye i.e. dada/mdogo/binamu wa mkewe.
(Nimewaexclude marafiki kwa kuwa nahisi wao hawaangukii kwenye huu mshangao wangu).
Je kosa ni la nani kati ya hawa?
Ninaomba mnisaidie kufikiri maana sasa naiona dunia ya mapenzi kama uwanja wa fujo tu ambao natamani kama ningeweza kujiepusha nao niuepuke.
Nimesoma na kusikia visa vingi sana vya mapenzi ila ambacho ninashindwa kukielewa lawama nimtupie nani ni hiki cha mtu na shemeji yake!! Yaani iwe
1. mke kutembea na shemeji yake i.e. kaka/mdogo/binamu wa mume wake
2. Mume kutembea na shemejiye i.e. dada/mdogo/binamu wa mkewe.
(Nimewaexclude marafiki kwa kuwa nahisi wao hawaangukii kwenye huu mshangao wangu).
Je kosa ni la nani kati ya hawa?