Si utumie kiswahili tu nayo ni Lugha na unaimudu. Kiingereza si kipimo cha akili wala uelewa"I dont knew" maana yake nini?
Si utumie kiswahili tu nayo ni Lugha na unaimudu. Kiingereza si kipimo cha akili wala uelewa"I dont knew" maana yake nini?
Mfundishe angesemaje ili askosee tena
Tulia Dawa ikuingie...nikupimie cc ngapi?
CCM wanatamani zingekuwa zinapigwa kula zileee za wazi (ili kuwabana wale was TAMISEMI),wanaosema ndio wasema ndio 'ndioooo' ,wanaosema sio waseme sio 'sio'
Waliosema ndio wameshinda...lol
Uchaguzi huu ni wakisomi ,haki , weredi etc na sio funika kombe mwanaharamu apite
Ha ha ha, Jf raha sana wakuu!..Ukishamaliza kujitekenya, cheka!
.....Na ukishinda basi wewe ni TLS= Tundu Lissu Shujaa...Huwezi shindana na SERIKALI ukashinda
Hicho ni kitu cha kawaida sana na si ajabu TLS akifika kwenye hicho kiti usishangae sana akawa mpole Kama kamwagiwa maji ya baridi......Na ukishinda basi wewe ni TLS= Tundu Lissu Shujaa...