Laurence Masha ajitoa kugombea Urais TLS, amuunga mkono Tundu Lissu

Malisa Godlisten

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
201
1,534
FB_IMG_1489783188919.jpg

Mgombea Urais wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS) Ndg. Laurence Masha amejitoa kwenye kinyang'anyiro hicho kwa hoja kuwa anaamini uwezo wa Lissu katika kuiongoza TLS.

Amewaomba mawakili wote waliopanga kumpigia kura wampigie Tundu Lissu.

 
I expected this from day one ndo maana nilikuwa nawashangaa waliokuwa wanatoa povu!!

Kama mtu angekuwa anamfuatilia Masha; tangu day one alikuwa mstari wa mbele kukipigia kelele chochote kilichokuwa against Lissu!!! Nilishahisi hii ilikuwa ni plan ya kuzuia wagombea wengine kuchukua fomu lakini ili hatimae mmoja ajitoe!!!

Nakumbuka hata siku Lissu alipokamatwa; Masha alipiga kelele sana hadi mtu ungeweza kujiuliza kwanini kukamatwa kwa Lissu asione ni opportunity kwake!!!
 
Back
Top Bottom