kivyako JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 14,342 Reaction score 12,065 Aug 7, 2014 #81 Mbona hapa sioni feedback kama kweli watu walivunjika mbavu?!
R ridculouz JF-Expert Member Joined Mar 7, 2014 Posts 910 Reaction score 504 Aug 7, 2014 #82 kivyako said: Mbona hapa sioni feedback kama kweli watu walivunjika mbavu?! Click to expand... ukiona hivyo ujue hakuna mwana Jf alie enda chezea elfu tisini wewe parefu saaana hapo
kivyako said: Mbona hapa sioni feedback kama kweli watu walivunjika mbavu?! Click to expand... ukiona hivyo ujue hakuna mwana Jf alie enda chezea elfu tisini wewe parefu saaana hapo
Ally Kombo JF-Expert Member Joined Nov 11, 2010 Posts 11,429 Reaction score 2,653 Aug 8, 2014 #83 kivyako said: Mbona hapa sioni feedback kama kweli watu walivunjika mbavu?! Click to expand... ........hata mie nimeisoma hii uzi ili nipate feedback, but wapi !? labda tumuulize Yericko Nyerere mdogo wake Andrew ! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kivyako said: Mbona hapa sioni feedback kama kweli watu walivunjika mbavu?! Click to expand... ........hata mie nimeisoma hii uzi ili nipate feedback, but wapi !? labda tumuulize Yericko Nyerere mdogo wake Andrew !
Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,167 Reaction score 10,226 Aug 8, 2014 #84 ridculouz said: ukiona hivyo ujue hakuna mwana Jf alie enda chezea elfu tisini wewe parefu saaana hapo Click to expand... hahahahaha. parefu sanaaaaaa.
ridculouz said: ukiona hivyo ujue hakuna mwana Jf alie enda chezea elfu tisini wewe parefu saaana hapo Click to expand... hahahahaha. parefu sanaaaaaa.
Idimi Platinum Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,506 Reaction score 11,439 Aug 8, 2014 #85 kivyako said: Mbona hapa sioni feedback kama kweli watu walivunjika mbavu?! Click to expand... Itakuwa hawaku enjoy kama walivyotarajia. Lazima wangerudi na +ve feedback
kivyako said: Mbona hapa sioni feedback kama kweli watu walivunjika mbavu?! Click to expand... Itakuwa hawaku enjoy kama walivyotarajia. Lazima wangerudi na +ve feedback
Logikos JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 17,572 Reaction score 27,320 Aug 8, 2014 #86 Kwa bei hio nadhani hata vinywaji vitakuwa vitaendana na bei hizo.., kwahio ushishangae wadau hasa hao wa kwenye meza ya laki saba wanalia badala ya kucheka...
Kwa bei hio nadhani hata vinywaji vitakuwa vitaendana na bei hizo.., kwahio ushishangae wadau hasa hao wa kwenye meza ya laki saba wanalia badala ya kucheka...