Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,730
- 218,299
Ohoooo!!!Wale wanaokaa na vitabu vya tiketi makwapani itakuwaje?
Hahahahahahaaaa aiseeeWale wanaokaa na vitabu vya tiketi makwapani itakuwaje?
HahahahaWale wanaokaa na vitabu vya tiketi makwapani itakuwaje?
Nakwenda ARK tokea Mlandizi... vipi kuhusu hiyo tiketi ya mtandaoKutumia tiketi za mtandao kunaongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato. It increase tax collection efficiency
Hao watu lukuki walikuwa wakatisha tikiti?Jinsi uneployment inavyokuwa kwa kasi tatizo..
Watu lukuki watakosa ajira...
Ni kweliKutumia tiketi za mtandao kunaongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato. It increase tax collection efficiency
Moja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.Sasa mtu wa buchosa ndani ndani akitaka ticket na kwenye mambo ya kutumia mtandao yuko chini inakuwaje hapo
Ova
Nakwenda ARK tokea Mlandizi....vipi kuhusu hiyo tiketi ya mtandao
Bus limeharibika njiani tunahitaji refund tuendelee na safari itakuwaje wakati pesa yoote iko kwa mtandao
Wao wanafikiri kila mtu ana accses ya kutumia mtandao ....Moja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.
Bonge la point, ila serikali inataka makusanyo hata kwa miguvuNakwenda ARK tokea Mlandizi....vipi kuhusu hiyo tiketi ya mtandao
Bus limeharibika njiani tunahitaji refund tuendelee na safari itakuwaje wakati pesa yoote iko kwa mtandao
Watakula walikopeleka mboga😂Wale wanaokaa na vitabu vya tiketi makwapani itakuwaje?