Uhuru wa abiria kusafiri usiku ni muhimu mno kwa maendeleo yetu. Unatoka Arusha saa 10 jioni unafika Dar saa 10 asubuhi. Unafunga mzigo wako mchana jioni saa 10 unakamata BM unarudi Arusha asubuhi saa 10 upo Arusha. Biashara inaendelea.
Madereva wa mabasi wanahitaji muda kidogo kuweza kuzoea kuendesha usiku.
Nawashauri LATRA msibweteke na ajali za mabasi usiku kwani ni suala la muda tu ajali hizo zitapungua na kuwa kiwango cha kawaida. Tunahitaji sana usafiri wa usiku kufanikisha mambo yetu watanzania.
Madereva wa mabasi wanahitaji muda kidogo kuweza kuzoea kuendesha usiku.
Nawashauri LATRA msibweteke na ajali za mabasi usiku kwani ni suala la muda tu ajali hizo zitapungua na kuwa kiwango cha kawaida. Tunahitaji sana usafiri wa usiku kufanikisha mambo yetu watanzania.