Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 78
kwenye hili ama hata jingine niko tayari, kwa pamoja tutaweza bhana
Wow This is a marvelous Idea.
Nafikiri Tucheki na hii ya Tipa kwanza. Tukipata zile Tipa kubwa Haziwezi lala Njaa.
I cant wait to see how this thing will start.
In any case kama tukifikia Conclusion. Tunaweza pata msaada wa mods tu create List ya watu ambao wako willing Kujiunga in some form of uodates kwenye hii thread.
Baada ya hapo Tunaweza jisajili kama kikundi, Tuakachagua viongozi tukatengeneza na katiba yetu wenyewe.
We have to have some Membership contribution fees not Exceeding 5,000. to aid us in opening a Bank account and other forms of registrations.
Afterwards we open a bank account.
Hapo contribution inaanza right away.
Lets go on guys!!!!
Thanks JF.