Las Vegas Jiji la anasa Duniani

Las Vegas Jiji la anasa Duniani

Ciprofloxacin.

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
1,583
Reaction score
2,702
Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile.

Ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.
 
Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile,ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.

Las Vegas ipo jimbo la Nevada si Calfornia
 
Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile,ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.

Kutembelea Las Vegas sio lazima kwenda kama huna hobby na yanayofanyika huko.

Wengine wanaona bora waende honolulu au miami.
 
Las Vegas...shopping ya the wacko jacko kila mwisho wa wiki ( RIP MJ)
 
Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile.

Ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.

acha kudanganya watu wewe nani kwakwambia Las Vegas iko Califonia acha uzwazwa

hata hivo nani kakudanganya kuwa Filamu za X zinachezwa kwa wingi Las Vegas nitajie kampuni moja kubwa tu ya filamu hizo iliyopo hapo nachojua makampuni kama

Evasive Angels, Digital Playground, Bang Bros, Naughty America, 3rd Degree, Anabolic ziko Califonia
 
Las vegas si ipo nevada ?? Kama huna hela unashauriwa usiende kuna siku nishawahi kupishana na floyde mywhere
 
Sas ww unajua Leo hayo mambo upo Dunia gn ww mbona sehem Zpo nying sn tuu umeshachelewa kuelewa
 
Inawezekana Las Vegas ni shiida.Nlikuwa naangalia documentary moja wanasema "the busiest hotel in the World ipo Las Vegas!
 
Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile.

Ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.

Las Vegas my foot!
Raha najipa mwenyewe.
Hata iwe ni kwa mama-ntilie bora roho imeridhika!
A man will walk around the world looking for something, only to come back home and find it!!
 
acha kudanganya watu wewe nani kwakwambia Las Vegas iko Califonia acha uzwazwa

hata hivo nani kakudanganya kuwa Filamu za X zinachezwa kwa wingi Las Vegas nitajie kampuni moja kubwa tu ya filamu hizo iliyopo hapo nachojua makampuni kama

Evasive Angels, Digital Playground, Bang Bros, Naughty America, 3rd Degree, Anabolic ziko Califonia

ina maana wewe unajua kampuni zote za X mkuu? Hata Las vegas zipo nyingi sana,kinachofanyika ni kwa participants wa filamu hizo kuwa filmed Las vegas,kampuni kuwa california si lazima pia wawe filmed huko,kumbuka Las vegas ni jiji la anasa lililopo ktk jimbo la Nevada,(samahani nilikosea kwenye uzi)Nevada ndo jimbo kitovu cha marekani ktk mambo ya ulinzi na ndipo wanasayansi wa jeshi wanapotengeneza silaha hatari duniani ktk eneo la area 51,silaha ambazo hakuna taifa linazo duniani,najua anti-america watapinga,karibuni.
 
Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile.

Ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.

Hiyo ni UKAWA ninayoijua mimi au ni ipi🙁😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom