Laptops and Mobile phones for sale

Laptops and Mobile phones for sale

Mambo iko galaxy bwana simu gani hizo hata kubadili battery huruhusiwi

Kaka iphone ni smart sana huwezi ukafananisha Na samsung galaxy me nimeishatumia galaxy ii na sasa nina iphone 4s tofauti ni kubwa sana trust me!!
 
Hiyo itakuwa ya kichina double line. Toka lini iphone 4s laki saba. Au ya wizi? Kwani hata kama umefulia hujionei huruma umenunua simu milioni moja laki nane uiuze kwa laki saba?

SURE,NI VIZURI TUWE Makini....mimi nilikuwa pale Tanga mjini....viwanja vipya vya Forodhani napunga upepo! Wakatokea Wahindi wawili wakaniita kwenye gari...wakanionyesha simu ...I phone 4s ,Sumsung Galaxy( version tofauti). Wakaniambia wao ni wafanyabiashara na wanaenda Dar,,kwamba mmoja ametokea Dubai na wamejikuta hawana hela-wanauza iphone kwa laki 8,tshs na GALAXY KWA LAKI 5, NA NYINGINE 200.000... nikawambia mimi nitanunua Iphone lakini nina laki 3.... tukavutana mpaka wakanipatia kwa bei hiyo! MY GOD....KUMBE NI FAKE....WALIKUWA NAZO NYINGI(ZAIDI YA 10) KWENYE GARI....BILA SHAKA MPAKA SASA WAMEISHAWALIZA WATU WENGI. SO BE CAREFULL PLEASE.
 
Iphone 4s kuuzwa laki 7 sishangai maana simu za mkononi ndo bei zake..umakini unahitajika pia unaponunua simu mkononi
 
SURE,NI VIZURI TUWE Makini....mimi nilikuwa pale Tanga mjini....viwanja vipya vya Forodhani napunga upepo! Wakatokea Wahindi wawili wakaniita kwenye gari...wakanionyesha simu ...I phone 4s ,Sumsung Galaxy( version tofauti). Wakaniambia wao ni wafanyabiashara na wanaenda Dar,,kwamba mmoja ametokea Dubai na wamejikuta hawana hela-wanauza iphone kwa laki 8,tshs na GALAXY KWA LAKI 5, NA NYINGINE 200.000... nikawambia mimi nitanunua Iphone lakini nina laki 3.... tukavutana mpaka wakanipatia kwa bei hiyo! MY GOD....KUMBE NI FAKE....WALIKUWA NAZO NYINGI(ZAIDI YA 10) KWENYE GARI....BILA SHAKA MPAKA SASA WAMEISHAWALIZA WATU WENGI. SO BE CAREFULL PLEASE.

Explanations zao tu zilitosha kukualert!
 
People grow up bana maswali mengine ya kichoko eti kwa nn unauza! Mara bei cmon we kama uko mtwara na mishe hamna piga kimya mkuu!
 
Iphone 4s htc 4gs na nokia8 au tuseme karibu cmu zote aina ya smartphone zinauzwa $350 hadi 600. Ila chakuzingatia cm zakichina nyingi sana siku hizi wametoa aina ya smartphone za line1 chakuangalia apps zake zimetofautiana na original
 
laptops kama del,hp,sony kwa bei nafuu nipigie 0719373606
 
Upo wapi? kama ni Dar, mikoani unapeleka?

Hebu edit basi tangazo lako uweke data za uhakika ila hata mtu atakapoinua simu kukupigia, tayari ameshafanya maamuzi. Kupiga simu gharama ati...
 
Upo wapi? kama ni Dar, mikoani unapeleka?

Hebu edit basi tangazo lako uweke data za uhakika ila hata mtu atakapoinua simu kukupigia, tayari ameshafanya maamuzi. Kupiga simu gharama ati...

afadhali umesema coz mi nusu nitukane, wanaudhi kutokuwa open. Kwan we dalali ad usiweke mambo wazi?
 
Upo wapi? kama ni Dar, mikoani unapeleka?

Hebu edit basi tangazo lako uweke data za uhakika ila hata mtu atakapoinua simu kukupigia, tayari ameshafanya maamuzi. Kupiga simu gharama ati...

umeona eh..
anyway thejosec, nataka core i5/i7 (model, hdd, ram, au processor speed yoyote ile) basi tu iwe na switchable graphics card. niandikie hapa hapa price na model, sioni cha kupigiana simu au PM
 
Last edited by a moderator:
lap tops used and brand new zinauzwa
ipo e-machine..core i3 processor,500gb hdd,2gb ram,pia ipo dell.hp na sony vaio....
piga simu 0719373606
 
e-machine 500gb hdd,2gb ram core i3 processor,pia ipo hp pro book ina web cam,face recognition system,fingerprint,betri masaa matano....piga simu 0719373606
nipo dar-es-salaam
bei ni poa na nimaelewano kati yangu na mteja
piga simu au beep 0719373606
 
sure bei ni karibu na bure......ni mpyaaa......huwezi weka bei hapa....coz hi ni biashara ya mkononi...tunaelewana nakuachia mzigo
 
biashara gani za kuficha bei kama tunauziana unga hapa! funguka ushinde jembe. weka mambo hadharani
 
Back
Top Bottom