CPA haubahatiki kuipata ila wewe ni Kipanga mkali, Genius nk taaluma hii ni ngumu tunaijua wenyewe, mikimiki ya MANAGEMENT ACCOUNTING migumu kwaiyo jikubali kaka
Hahaha pamoja sn kamanda na kweli kabisa hapa MA pale kati INTERNATIONAL FINANCE dah lazima ujikubali naukiwa mzembe2 lazima uombe poo!