LAPF waanza kuita watu kwenye interview

LAPF waanza kuita watu kwenye interview

Uhuni huu unaita watu wengi post 4 tena unakuta 2 au 3 zina wenyewe kabisa mimi siendi hiyo interview yao
 
Uhuni huu unaita watu wengi post 4 tena unakuta 2 au 3 zina wenyewe kabisa mimi siendi hiyo interview yao

Tena unakuta kuna watu wenye mastars,ndio wanao pigiwa michongo ya hizo kazi...nnao washikaji zangu wapo hapo LAPF na mastars zao.
 
Uhuni huu unaita watu wengi post 4 tena unakuta 2 au 3 zina wenyewe kabisa mimi siendi hiyo interview yao

Mkuu we nenda kapige usaili huwezi jua,Mungu ni mwema....
Nikikupa story yangu unaweza cheka,kipindi TRA wametangaza nafasi zao za kazi nilikua na jamaa yangu internet,tunafanya application mbalimbali,jamaa yangu akasema hizo za TRA usiombe zina wenyewe... nikasema hapana acha nijaribu bahati yangu....
Niliomba kweli,nikaitwa usaili diomond jubilee,people zilikua nyingi sana,sikukata tamaa,nikawepa mpira kati,majina yalipotoka second round nipo,nikaweka mpira penalty,siku hiyo nilikua zangu pale mwenge,nashangaa naona no ya simu ya ttcl,nikapokea nikaambiwa njoo kesho uchukue barua yako ya ajira hapa TRA...
Jamaa yangu hadi leo hua anaraumu tu kwamba na yeye angeweka mpira kati,yawezekana angeingia hata kwenye penalty box.....!! Usikate tamaa,pigana,pambana hadi siku yako ya mwisho aliyokupa mwenyezi Mungu hapa duniani.....!!
 
Mkuu we nenda kapige usaili huwezi jua,Mungu ni mwema....
Nikikupa story yangu unaweza cheka,kipindi TRA wametangaza nafasi zao za kazi nilikua na jamaa yangu internet,tunafanya application mbalimbali,jamaa yangu akasema hizo za TRA usiombe zina wenyewe... nikasema hapana acha nijaribu bahati yangu....
Niliomba kweli,nikaitwa usaili diomond jubilee,people zilikua nyingi sana,sikukata tamaa,nikawepa mpira kati,majina yalipotoka second round nipo,nikaweka mpira penalty,siku hiyo nilikua zangu pale mwenge,nashangaa naona no ya simu ya ttcl,nikapokea nikaambiwa njoo kesho uchukue barua yako ya ajira hapa TRA...
Jamaa yangu hadi leo hua anaraumu tu kwamba na yeye angeweka mpira kati,yawezekana angeingia hata kwenye penalty box.....!! Usikate tamaa,pigana,pambana hadi siku yako ya mwisho aliyokupa mwenyezi Mungu hapa duniani.....!!
safiii sanaa... never give up... your not defeated until you give up the fight.
 
Accountant post ilikuwa maswali ya shule matupu. Compliance ni bora ujiandae maana najua itakuwa hivyo hivyo. All the best kwa tutakaoenda kwenye ya compliance
 
Accountant post ilikuwa maswali ya shule matupu. Compliance ni bora ujiandae maana najua itakuwa hivyo hivyo. All the best kwa tutakaoenda kwenye ya compliance
Maswali yalikuwa ya namna gani mkuu,na vp mlikuwa nyomi au kawaida tu.....nijuze ili nijue kama naenda kwenye iyo compliance au nisiende
 
Maswali yalikuwa ya namna gani mkuu,na vp mlikuwa nyomi au kawaida tu.....nijuze ili nijue kama naenda kwenye iyo compliance au nisiende
tulikuwa kama 70 na ilikuwa maswali ya auditing na accounting kwa sababu ndio vitu anavyotakiwa kujua accountant.

Compliance nenda tuu mkuu,huna cha kupoteza japo najua itakuwa nyomi
 
tulikuwa kama 70 na ilikuwa maswali ya auditing na accounting kwa sababu ndio vitu anavyotakiwa kujua accountant.

Compliance nenda tuu mkuu,huna cha kupoteza japo najua itakuwa nyomi
Saafi kiongozi iyo mi sikuitwa ila niliomba na niliqualify for the post,ila ngoja nikathubutu iyo ya Compliance.....vp mmefanya maswali mangapi na vp mda???I mean mmefanya kwa time gani and what is the implication of pasport size..vp wamezichukua au mmebandika wapi???na mmeandika majina au mlipewa namba za kuandika???
Sorry kwa usumbufu kiongozi naomba unijulishe ata kwa kusummarize tu
 
Saafi kiongozi iyo mi sikuitwa ila niliomba na niliqualify for the post,ila ngoja nikathubutu iyo ya Compliance.....vp mmefanya maswali mangapi na vp mda???I mean mmefanya kwa time gani and what is the implication of pasport size..vp wamezichukua au mmebandika wapi???na mmeandika majina au mlipewa namba za kuandika???
Sorry kwa usumbufu kiongozi naomba unijulishe ata kwa kusummarize tu
maswali 6 kwa saa moja na sio kuchagua ni ya kulezea.
passport sizee hawakuchua
Tumeandika majina na majibu ya mtihani wamesema ni leo yanatoka
 
tulikuwa kama 70 na ilikuwa maswali ya auditing na accounting kwa sababu ndio vitu anavyotakiwa kujua accountant.

Compliance nenda tuu mkuu,huna cha kupoteza japo najua itakuwa nyomi
so hakukuwa na matumizi ya calculator ? Dah pepa za kujieleza ndio nazipenda ..Najiandaa na hiyo compliance.
 
maswali 6 kwa saa moja na sio kuchagua ni ya kulezea.
passport sizee hawakuchua
Tumeandika majina na majibu ya mtihani wamesema ni leo yanatoka
Hawa jamaa wako vizuri sio kama PPF .....kaka nashukuru kwa taarifa,I dared to attend
 
tulikuwa kama 70 na ilikuwa maswali ya auditing na accounting kwa sababu ndio vitu anavyotakiwa kujua accountant.

Compliance nenda tuu mkuu,huna cha kupoteza japo najua itakuwa nyomi

Mkuu vipi walibadika list ya majina?au kuna sehemu wamepost majina ya walioitwa kwenye post ya comliance officers?
 
Back
Top Bottom