ajiandae kwakweli maana ni nafasi nne watu walipogiwa simu efu tatu, hadi jumamosi ifike kitaeleweka
Na taarifa zilizipo bado wanapiga kiongozi post za compliance officers so kazi ipo nyomi ya kutosha
ajiandae kwakweli maana ni nafasi nne watu walipogiwa simu efu tatu, hadi jumamosi ifike kitaeleweka
Na taarifa zilizipo bado wanapiga kiongozi post za compliance officers so kazi ipo nyomi ya kutosha
Kwahyo bado wanaendeleaje kuita? Au ndio wamemaliza?
afu ukute wenye nafasi hawaendi hatakufanya hiyo interview
Jana asubuhi wakanipigia kuniita ya compliance officer,hii sitaenda. ya accountant watakuwa wameita wachache.ajiandae kwakweli maana ni nafasi nne watu walipogiwa simu efu tatu, hadi jumamosi ifike kitaeleweka
Jana asubuhi wakanipigia kuniita ya compliance officer,hii sitaenda. ya accountant watakuwa wameita wachache.
USHAURI WANGU WADAU, TWENDENI TUKAJARIBU HATA UKIKOSA NAFSI ITARIDHIKA MAANA ULIJARIBU. NAFASI CHACHE ILA WANAWEZA KUKUWEKA KWENYE DATABASE AFU UKAITWA BAADAE. ALL HE BEST
Ingekua nime bahatika ka interview kingne this week ninge wapiga chini!
DUCE iko sehemu gani? nikifika buguruni chama nipande gari inayoelekea sehemu gani na nishuke kituo gani? Naomba kufahamishwa.
Nyie mnaosema interview ni jumamosi acheni kupotosha watu.. Mimi nimeitwa compliance officer interview ni tarehe 8 jumatano.
Sio vizuri kupotosha kwa makusudi.
Nyie mnaosema interview ni jumamosi acheni kupotosha watu.. Mimi nimeitwa compliance officer interview ni tarehe 8 jumatano.
Sio vizuri kupotosha kwa makusudi.
Ukifika buguruni chama pale panda gari za mbagala rangi 3 au mtoni mtongani then shuka (uwanja wa taifa kituo) muulize mtu yeyote pale DUCE ilipo utaonyeshwa ilipo inapakana na uwanja wa taifa
Nyie mnaosema interview ni jumamosi acheni kupotosha watu.. Mimi nimeitwa compliance officer interview ni tarehe 8 jumatano.
Sio vizuri kupotosha kwa makusudi.