LAPF waanza kuita watu kwenye interview

LAPF waanza kuita watu kwenye interview

Asubuhi walisema Millenium Tower ila saiv tena wamepiga na kusema kuwa Interview ya Accountant itafanyikia DUCE
 
wadau kaeni karibu na simu zenu LAPF wameanza kuita nimepata simu yao leo (0262321745)

Mtanange Duce 8/7/2015 naona iko kishule zaidi hadi wanasema calculator, accademic certificates & passport size!

Accountant post
 
wadau kaeni karibu na simu zenu LAPF wameanza kuita nimepata simu yao leo (0262321745)

Mtanange Duce 8/7/2015 naona iko kishule zaidi hadi wanasema calculator, accademic certificates & passport size!

Accountant post
mkuu simu ulipigiwa saa ngapi,,,?, tar8 ni jumatano ijayo, tangu lini interview zikafanyika siku ya kazi..?,
 
mkuu simu ulipigiwa saa ngapi,,,?, tar8 ni jumatano ijayo, tangu lini interview zikafanyika siku ya kazi..?,

Nimejiuliza hilo kiongozi sijui mimi ndio sikusikia vizuri hiyo tarehe pale DUCE ama lakini wanapiga kwa namba hizo hapo juu ngoja wadau walio pata info. kwa umakini wata comment huu uzi ila inaonekana walianza kuita tangu jana na wamenpigia mida ya sa9
 
Kazi za kuwekana hizo,wanasumbua watu bure kuwaita interview...huku wana watu wao tayari.
 
Wakuu leo nilipigiwa simu kwa ajili ya interview.Naona wameanza kuita.
Mimi nimeitwa katika nafasi ya ACCOUNTANT

Una qualification gani mwenzangu?mi mbna niliomba iyo post ,na hawajanibip wala kunipigia?Mi ni Graduate Accountant, au we mwenzangu una sifa zaid ya iyo??na kwenye Profession ya Uhasibu mwisho kabisa nia GA sasa wewe wamekuita kwa vigezo gani??
 
Una qualification gani mwenzangu?mi mbna niliomba iyo post ,na hawajanibip wala kunipigia?Mi ni Graduate Accountant, au we mwenzangu una sifa zaid ya iyo??na kwenye Profession ya Uhasibu mwisho kabisa nia GA sasa wewe wamekuita kwa vigezo gani??

mimi pia ni GA na nina uzoefu. ila kuwa na subira bro kuna leo pia unaweza kuitwa
 
NAOMBENI MSAADA

Kwanza nitangulize samahani kwa kuingilia Uzi huu, nipo nje ya mada kidogo.

Nataka ku-download
App ya Mobile spy ili kua napata taarifa za mawasiliano ya mpenzi wangu kwani si muaminifu, lengo ni kuwa naona sms zake anazotuma na kutumiwa, simu anazopigiwa na kupiga.

App hiyo inapatikana
katika hii link www.mobilespy-uk-androidsoftware.wapka.mobi sasa najaribu kuilipia kwa Credit card yangu dollar 2 ili ni download inanambia Card ended

Nilishaga wahi kudownload nikawa nayo katika simu yangu nyingine nataka kudownload katika simu nyingine mpya ndo inanambia CARD ENDED

Kwa anaejua anisaidie itakua tatizo nini jamani?

huo ujinga tulishaacha. ukikua utaaacha. ndorooobo wewe
 
Hata compliance officer wameanza kuita ni pale DUCE tarehe 11/7/15 wamesema kwenda na
1.vyeti
2.passpot size tatu coloured
3.kitambulisho
4.calculator
Muda ni saa mbili asubuhi
 
mimi pia ni GA na nina uzoefu. ila kuwa na subira bro kuna leo pia unaweza kuitwa

i hope experience & CPA vina add advantages coz me kwa kweli experience sina but nime bahatika kupata CPA november ila ugumu ninao upata mimi kwenye kupata hii ajira ni kuwa hii nafasi ya accountant waliyo tuita ziko mbili kama cjakosea na ile ya senior accountant iko moja itakuaje sijui na idadi ya watu!

Ila mimi nlijaribu kuomba zote ya accountant & compliance officer jana nmepata simu ya hii accountant sijui DUCE tutakuaje!
 
i hope experience & CPA vina add advantages coz me kwa kweli experience sina but nime bahatika kupata CPA november ila ugumu ninao upata mimi kwenye kupata hii ajira ni kuwa hii nafasi ya accountant waliyo tuita ziko mbili kama cjakosea na ile ya senior accountant iko moja itakuaje sijui na idadi ya watu!

Ila mimi nlijaribu kuomba zote ya accountant & compliance officer jana nmepata simu ya hii accountant sijui DUCE tutakuaje!

Kiongozi mambo vip? sometimes uwe unafoji experiences ,to me it works mkuu.
 
Back
Top Bottom