LAPF waanza kuita watu kwenye interview

LAPF waanza kuita watu kwenye interview

accountant post tulikuwa sabini na ilikuwa ni CPA(T). afu tofautisha kati ta kusaka ajira na kusaka maslahi zaidi
lUnajua kwanini unasaka maslahi zaidi,sababu CPAs tumekuwa wengi kwahiyo tunalipwa pesa kidogo tofauti na zamani, law of demands and supply,sasahivi kuna watu wengi tu wana kazi za kawaida saana mfano bank tellers ambao ni CPAs
holders tena CPAs zao ni muda tu wanasaka ajira na wengine hawana kazi kabisa
 
lUnajua kwanini unasaka maslahi zaidi,sababu CPAs tumekuwa wengi kwahiyo tunalipwa pesa kidogo tofauti na zamani, law of demands and supply,sasahivi kuna watu wengi tu wana kazi za kawaida saana mfano bank tellers ambao ni CPAs
holders tena CPAs zao ni muda tu wanasaka ajira na wengine hawana kazi kabisa

experience na cpa ndio deal
 
Back
Top Bottom