kama hukupata simu ujue hukupata
Surely ngoja ni subirie huu upande mwingine wa compliance
kama hukupata simu ujue hukupata
COMPLIANCE SIKUENDA. NAKOMAA NA NAO sasaSurely ngoja ni subirie huu upande mwingine wa compliance
COMPLIANCE SIKUENDA. NAKOMAA NA NAO sasa
lUnajua kwanini unasaka maslahi zaidi,sababu CPAs tumekuwa wengi kwahiyo tunalipwa pesa kidogo tofauti na zamani, law of demands and supply,sasahivi kuna watu wengi tu wana kazi za kawaida saana mfano bank tellers ambao ni CPAsaccountant post tulikuwa sabini na ilikuwa ni CPA(T). afu tofautisha kati ta kusaka ajira na kusaka maslahi zaidi
lUnajua kwanini unasaka maslahi zaidi,sababu CPAs tumekuwa wengi kwahiyo tunalipwa pesa kidogo tofauti na zamani, law of demands and supply,sasahivi kuna watu wengi tu wana kazi za kawaida saana mfano bank tellers ambao ni CPAs
holders tena CPAs zao ni muda tu wanasaka ajira na wengine hawana kazi kabisa