LAPF Aptitude test: msaada kwa wale ambao walishafanya Aptitude test LAPF

Je!! Unafikiri kuomba msaada Wa information sio sawa?


  • Total voters
    19
Wewe huyo jamaa anakuponza tu. Yule wa kwanza ndio amekupa ushauri mzuri. Pia hujui yeye ni nani pengine ni muhusika na wanaangalia usiri. Jifunze kusoma between lines, maelezo ya jamaa aliekupa ushauri wa usiri yanabeba ujumbe flani kwamba jamaa anajua jambo au anauzoefu au yuko jikoni kwenyewe. Huyo wa pili ni uanaharaki na ujasiri mwingi ambao saa nyingine unaponza au una expose weakness yako.
Hii ni njia ya kutaka kupata information, mambo ya ujasiri, sjui usiri, kua na vifua, weakness ( ambayo itabidi utoe ufafanuzi) n.k yanatoka wapi aise wakati nafasi za kazi zimetangazwa public , majibu yametoka public.., kwani kwenye comment za watu huku ndani kuna kipi kipya ambacho hua akitokei zikitoka nafasi kama hizi!!
 
Hii ni njia ya kutaka kupata information, mambo ya ujasiri, sjui usiri, kua na vifua, weakness ( ambayo itabidi utoe ufafanuzi) n.k yanatoka wapi aise wakati nafasi za kazi zimetangazwa public , majibu yametoka public.., kwani kwenye comment za watu huku ndani kuna kipi kipya ambacho hua akitokei zikitoka nafasi kama hizi!!
Sawa
 
Hii ni njia ya kutaka kupata information, mambo ya ujasiri, sjui usiri, kua na vifua, weakness ( ambayo itabidi utoe ufafanuzi) n.k yanatoka wapi aise wakati nafasi za kazi zimetangazwa public , majibu yametoka public.., kwani kwenye comment za watu huku ndani kuna kipi kipya ambacho hua akitokei zikitoka nafasi kama hizi!!
Sawa
 
Habari!

Tafadhali , tunaomba msaada kwa wenzetu ambao wameshawahi kufanya Aptitude Test LAPF nafasi ya COMPLIANCE OFFICER .

Tuabarishe kuhusu aina ya maswali , mda Wa test , vitu muhimu vya kua navyo mfano calculator!! Mambo ya msingi ya kupitia kabla ya test n.k chochote ambacho unaona kitaweza kumsaidia MTU alieitwa kwenye Aptitude test LAPF .

Shukrani, God bless you

Tunaomba Mwanga kwa swali lililoulizwa plz
 
Kila mmoja ana uwezo binafsi, hujasoma ili uje kuitwa interview peke yako. Ni kweli wanakuaga watu weng sana, kupita kiasi ila hilo halikuzuii kuonesha kipi kilicho bora ndani yako. Kama ni msaka tonge kapambane.
 
Jaman wataopata taarifa za kuitwa kwenye oral watuambie ,maana ni wakat wa kwenda na simu kila mahali lol
 
Utaratibu wao haukuwa mzuri hata kidogo. Muda wa kukusanya karatasi za maswali na majibu ni zaidi ya saa moja iliyokuwa muda wa mtihani wenyewe. Uhakiki wa vyeti vya watu zaidi ya 1500 unafanywa na watu 3 tena baada ya watu kuruhusiwa kuingia chumba cha mtihani. Wangewaachia utumishi tu kama zamani
 
IMG_20170426_153814_907.jpg
IMG_20170426_153836_422.jpg
 
Back
Top Bottom