mkulima maskini
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 254
- 49
Hata mi nimeitwa but najua sio chini ya watu 1000, achen formality tunajua mna watu wenu, nn kazi ya HR kama anashortlist watu 3000 then anahitaji watu watano(5), acheni uswahili LAPF na wenzako PPF, NSSF & PSPF. plz achen Secretariat ya Ajira(PSRS) ifanye kaz yake. Mnangangania kuendesha usaili wakati chombo kilichoundwa kwa kazi hiyo kipo. Embu jifunzrn kwa wenzenu TPA & NHIF wamebadilika....MAGU anawaona ujue