Landmarks za Tanzania na Majina ya Viongozi

Wakati Nyerere akiwa hai alikuwa hapendi jina lake kutumika katika landmarks mbalimbali. Uwanja wa Nelson Mandela kule Sumbawanga ulikuwa umejengwa kama uwanja wa Nyerere lakini alipokwenda kuufungua akaubadilisha jina na kuuita Nelson Mandela. Siku za hivi karibuni kumekuwa na landmarks nyingi sana zilizopewa majina ya Nyerere lakini naona kama kuna viongozi wanaosahauliwa kabisa.

Karume (Muasisi wa Zanzibar ya leo) zaidi ya kuwa na ule uwanja wa Karume ambao zamani ulikuwa uwanja wa Ilala, na mitaa midogomidogo na shule za msingi huko mikoani, sidhani kama kuna landamark kubwa ya kumuenzi. Kwa vile huyu alikuwa baharia, ningeshauri mojawapo ya bandari zetu iitwe Bandari ya Karume

Aboud Jumbe (huyu alikuwa makamu wa rais effective sana ila alikosea kidogo tu) hana landamark yoyote ya kumkumbuka. kwa vile yeye alitumia sehemu kubwa sana ya maisha yake Kigamboni, ningeshauri lile jimbo la kigamboni liitwe Kwa Jumbe

Mwinyi (Rais wa ruksa) amewekwa kwenye barabara ile iliyokuwa ikiitwa Bagamoyo road, na labda uwanja wa mpira wa mkoa wa Tabora tu. Hizo landmarks siyo kubwa sana kwa hadhi yake, na hivyo ningeshauri aongezewe kwenye list. Kwa vile yeye alihimiza sana biashara kwa kutumia falsafa ya Ruksa, ningeshauri jengo la wizara inayohusika na biashara hapo Dodoma liitwe Mwinyi House.

Angalu jina la Mkapa liko kwenye landamark kubwa mbili- daraja kubwa sana la Rufiji na stadium kubwa sana Tanzania; hakuna ulazima wa kuongeza landmark nyingine kwa jina la Mkapa.

Kikwete anaenziwa labda na taasisi ya Moyo ya Kikwete hapo Muhimbili, lakini nadhani anastahili kueziwa zaidi hasa katika jithada zake za kusambaza elimu nchini chini ya sera za sekondari za kata na UDOM. Ningeshauri kile chuo Kikuu cha Dodoma alichokiasisi yeye kiitwe Kikwete University of Dodoma (KUDOM).

Halafu tuwe na sheria inayoweka limit ya kutumia jina moja kwenye major landmarks; yaani jina moja lisitumike katika landmarks kubwa zaidi ya tatu au nne hivi. Mitaa midogo midogo pamoja majina ya vitongoji na shule za msingi siyo landmarks kubwa; hivyo havitaguswa na sheria hiyo.

Mengine yataongezewa kadri muda na matukio yanavyoruhusu
Majina kitu gani hasa kama umefanya mazuri hata usipoandikwa popote wananchi watakuandika mioyoni mwao na hautafutika.
 
Majina kitu gani hasa kama umefanya mazuri hata usipoandikwa popote wananchi watakuandika mioyoni mwao na hautafutika.
Hujajibu mada; nadhani na wewe unaongea kwa hisia tu. Unajuwa kuwa iwapo zile kanuni za Newton hazingepewa jina lake kweli wewe leo ungekuwa na unajua kuwa kulikuwa na kijana anaitwa Newton? Au kama jina la malkia Victoria lisingepewa ziwa letu ungekuwa unajuwa kuwa kulikuwa na malkia Victoria?

Historia huandikwa kwa namna tofauti na wahusika wenyewe, lakini sisi tunapotunza historia zao tunatumia njia nyingi pia ikiwa ni pamoja na kutunza maandiko yao, hotuba zao, picha zao, na majina yao; landamarks ni kwa ajili ya kutunza majina yao.
 
Mi naona Ni ushamba tu

Kila mradi una jina la kiongozi

Disgust halafu jina lina jirudi rudia

Hivi Ina maana hakuna hata Norma citizen ambao sio wanasiasa waliifanyia makubwa nchi hii mchango wako ukaheshimiwa kwa kuzipata baadhi ya hizo landmark majina yao


Wanasiasa bhana wabinfsi sana


Saivi Kuna Jokate mwegelo secondary schools just imagine
 
Chuo Kikuu cha Dr es Salaam siyo vizuri kukibadilisha jina kwa kuwa hilo limeshatambuliwa kwa zaidi ya miaka 50 sasa, lakini sioni ubaya kubadilisha jina la Chuo cha Dodoma ambacho bado ni kipya tu. Chuo cha Sokoine Morogoro kilipohamishwa kutoka Kitivo cha Kilimo cha Chuo Kikuu cha Dar es salaam, kilikuwa kinaitwa Chuo Kikuu cha Kilimo Mororogoro, baada ya kifo cha Sokoine kikabadilishwa jina na kupewa jina hili la Sokoine. Juzi juzi tu hata huko Ujerumani wambedilisha jina la mtaaa kutoka Von Wismann kuwa Lucy Lameck, kwa hiyo kubadilisha majina siyo jambo la ajabu, mradi kuwe na utaratibu mzuri wa kufanya hivyo bila kuathiri historia.

Juzi juzi tu hata huko Ujerumani wambedilisha jina la mtaaa kutoka Von Wismann kuwa Lucy Lameck, kwa hiyo kubadilisha majina siyo jambo la ajabu,
Sikuandika mahali popote kwenye bandiko hilo kwamba "... kubadilisha jina ni jambo la ajabu," hii sijui umeiokota wapi.

Nadhani msukumo uliokufanya upapatike ni hilo jina la "Lucy Lameck" na huo mtaa wa "Von Wismann."
 
Sikuandika mahali popote kwenye bandiko hilo kwamba "... kubadilisha jina ni jambo la ajabu," hii sijui umeiokota wapi.

Nadhani msukumo uliokufanya upapatike ni hilo jina la "Lucy Lameck" na huo mtaa wa "Von Wismann."
Shule uliyosoma inabidi uwashitaki wakurudishie karo yako kama ulilipia elimu yako!
 
Shule uliyosoma inabidi uwashitaki wakurudishie karo yako kama ulilipia elimu yako!
Wewe umegeuka kuwa mpuuzi mkubwa ndani ya jukwaa hili siku hizi.

Huo uzee umekumaliza kwelikweli, maanake unaandika mambo ya ajabu ajabu tu.

Nilishakupa ushauri siku nyingi ukimbilie hospitalini, siku hizi hata hiyo "Aizheimers" wana njia ya kuipozapoza isiendelee kukudidimiza zaidi.
 
Wewe umegeuka kuwa mpuuzi mkubwa ndani ya jukwaa hili siku hizi.

Huo uzee umekumaliza kwelikweli, maanake unaandika mambo ya ajabu ajabu tu.

Nilishakupa ushauri siku nyingi ukimbilie hospitalini, siku hizi hata hiyo "Aizheimers" wana njia ya kuipozapoza isiendelee kukudidimiza zaidi.
Siyo mara yako ya kwanza kunichokoza! Wewe ni aina ya watu wanaosoma mtu gani kaandika nini badala ya kusoma mada zilizoko mbele yao. Hiyo imekupumbaza sana akili kwa sababu unaelemewa na halo effects na anchoring biases.
 
Siyo mara yako ya kwanza kunichokoza! Wewe ni aina ya watu wanaosoma mtu gani kaandika nini badala ya kusoma mada zilizoko mbele yao. Hiyo imekupumbaza sana akili kwa sababu unaelemewa na halo effects na anchoring biases.
Ndio, uko sahihi. Nikisoma yaliyoandikwa ni lazima pia niwe na kumbukumbu ya mtu aliyeyaandika, sioni tatizo lolote hapo.

Kama mtu kama wewe anageuka na kuwa 'sycophant' juu ya mtawala bila kujua sababu zilizomfanya hivyo, nina haki ya kudadisi kutaka kujua huyu mtu aliingiliwa na nini kichwani mwake. Unapotetea hata yasiyostahili kutetewa usione ajabu watu wakikushangaa umetokewa na kitu gani.
Watu hawawezi kusoma upuuzi halafu wasijue mwandishi wa upuuzi huo ni nani.
Kuhusu hiyo "halo effect", kama wewe hunayo, basi fikra zako zitakuwa hata chini za mnyama. Kila binaadam anayo.

Wewe utakuwa mtu wa ajabu sana kama huna huwi 'influenced' na chochote, "biases" ikiwa ni sehemu ya influences hizo.

Kwa hiyo hapa unajiandikia tu bila ya kuwa na maana yoyote.
 
Wakati Nyerere akiwa hai alikuwa hapendi jina lake kutumika katika landmarks mbalimbali. Uwanja wa Nelson Mandela kule Sumbawanga ulikuwa umejengwa kama uwanja wa Nyerere lakini alipokwenda kuufungua akaubadilisha jina na kuuita Nelson Mandela. Siku za hivi karibuni kumekuwa na landmarks nyingi sana zilizopewa majina ya Nyerere lakini naona kama kuna viongozi wanaosahauliwa kabisa.

Karume (Muasisi wa Zanzibar ya leo) zaidi ya kuwa na ule uwanja wa Karume ambao zamani ulikuwa uwanja wa Ilala, na mitaa midogomidogo na shule za msingi huko mikoani, sidhani kama kuna landamark kubwa ya kumuenzi. Kwa vile huyu alikuwa baharia, ningeshauri mojawapo ya bandari zetu iitwe Bandari ya Karume

Aboud Jumbe (huyu alikuwa makamu wa rais effective sana ila alikosea kidogo tu) hana landamark yoyote ya kumkumbuka. kwa vile yeye alitumia sehemu kubwa sana ya maisha yake Kigamboni, ningeshauri lile jimbo la kigamboni liitwe Kwa Jumbe

Mwinyi (Rais wa ruksa) amewekwa kwenye barabara ile iliyokuwa ikiitwa Bagamoyo road, na labda uwanja wa mpira wa mkoa wa Tabora tu. Hizo landmarks siyo kubwa sana kwa hadhi yake, na hivyo ningeshauri aongezewe kwenye list. Kwa vile yeye alihimiza sana biashara kwa kutumia falsafa ya Ruksa, ningeshauri jengo la wizara inayohusika na biashara hapo Dodoma liitwe Mwinyi House.

Angalu jina la Mkapa liko kwenye landamark kubwa mbili- daraja kubwa sana la Rufiji na stadium kubwa sana Tanzania; hakuna ulazima wa kuongeza landmark nyingine kwa jina la Mkapa.

Kikwete anaenziwa labda na taasisi ya Moyo ya Kikwete hapo Muhimbili, lakini nadhani anastahili kueziwa zaidi hasa katika jithada zake za kusambaza elimu nchini chini ya sera za sekondari za kata na UDOM. Ningeshauri kile chuo Kikuu cha Dodoma alichokiasisi yeye kiitwe Kikwete University of Dodoma (KUDOM).

Halafu tuwe na sheria inayoweka limit ya kutumia jina moja kwenye major landmarks; yaani jina moja lisitumike katika landmarks kubwa zaidi ya tatu au nne hivi. Mitaa midogo midogo pamoja majina ya vitongoji na shule za msingi siyo landmarks kubwa; hivyo havitaguswa na sheria hiyo.

Mengine yataongezewa kadri muda na matukio yanavyoruhusu


Tatizo landmark karibu zote wamepewa wanasiasa wakati katika ujenzi wa taifa letu watu wa kada mbali mbali walishiriki kulijenga taifa.

General Msuguri,General Kiwelu,General Twalipo,Major General Kimario na wengine wengi walioshiriki vita ya Kagera walipaswa kuenziwa.
 
Wakati Nyerere akiwa hai alikuwa hapendi jina lake kutumika katika landmarks mbalimbali. Uwanja wa Nelson Mandela kule Sumbawanga ulikuwa umejengwa kama uwanja wa Nyerere lakini alipokwenda kuufungua akaubadilisha jina na kuuita Nelson Mandela. Siku za hivi karibuni kumekuwa na landmarks nyingi sana zilizopewa majina ya Nyerere lakini naona kama kuna viongozi wanaosahauliwa kabisa.

Karume (Muasisi wa Zanzibar ya leo) zaidi ya kuwa na ule uwanja wa Karume ambao zamani ulikuwa uwanja wa Ilala, na mitaa midogomidogo na shule za msingi huko mikoani, sidhani kama kuna landamark kubwa ya kumuenzi. Kwa vile huyu alikuwa baharia, ningeshauri mojawapo ya bandari zetu iitwe Bandari ya Karume

Aboud Jumbe (huyu alikuwa makamu wa rais effective sana ila alikosea kidogo tu) hana landamark yoyote ya kumkumbuka. kwa vile yeye alitumia sehemu kubwa sana ya maisha yake Kigamboni, ningeshauri lile jimbo la kigamboni liitwe Kwa Jumbe

Mwinyi (Rais wa ruksa) amewekwa kwenye barabara ile iliyokuwa ikiitwa Bagamoyo road, na labda uwanja wa mpira wa mkoa wa Tabora tu. Hizo landmarks siyo kubwa sana kwa hadhi yake, na hivyo ningeshauri aongezewe kwenye list. Kwa vile yeye alihimiza sana biashara kwa kutumia falsafa ya Ruksa, ningeshauri jengo la wizara inayohusika na biashara hapo Dodoma liitwe Mwinyi House.

Angalu jina la Mkapa liko kwenye landamark kubwa mbili- daraja kubwa sana la Rufiji na stadium kubwa sana Tanzania; hakuna ulazima wa kuongeza landmark nyingine kwa jina la Mkapa.

Kikwete anaenziwa labda na taasisi ya Moyo ya Kikwete hapo Muhimbili, lakini nadhani anastahili kueziwa zaidi hasa katika jithada zake za kusambaza elimu nchini chini ya sera za sekondari za kata na UDOM. Ningeshauri kile chuo Kikuu cha Dodoma alichokiasisi yeye kiitwe Kikwete University of Dodoma (KUDOM).

Halafu tuwe na sheria inayoweka limit ya kutumia jina moja kwenye major landmarks; yaani jina moja lisitumike katika landmarks kubwa zaidi ya tatu au nne hivi. Mitaa midogo midogo pamoja majina ya vitongoji na shule za msingi siyo landmarks kubwa; hivyo havitaguswa na sheria hiyo.

Mengine yataongezewa kadri muda na matukio yanavyoruhusu
Jambo la kuweka kumbukumbu ni zuri sana lakini hawa tunaowaenzi na kuweka majina yao kwenye madaraja nk nafikiri kwa mawazo yangu hili lisiwe jambo la kukurupuka mtu apewe kutokana na uadilifu wake na alichofanya kwa taifa.

Kuhusu majina yaliyopo hivi sasa mfano Kigamboni (kwa anayefahamu kwa nini iliitwa Kigamboni?) Au chuo kikuu cha Dodoma kwa nini kiliitwa Dodoma? Je, wakati majina hayo yanawekwa walitumia vigezo gani? Ingekuwa bora kuwe na mchakato chanya wa kuweka majina kutokana na mchango ambao mtu amefanya haya mambo ya kuweka tu majina kutokana na heat of the moment siafiki. Kila kiongozi kuna makosa alifanya wakati wa utawala wake. Je, tuna balance vipi na kumzawadia jina lake kwenye landmarks? Napendekeza hili jambo liwe linafanyiwa mchakato na ikiwezekana wakati muhusika ameshatutoka.
 
Nyerere kawekwa kwenye landmarks kubwa zenye impact kubwa nyingi kupita kiasi na ndiyo maana nikafikiri kuwa tuwe na sheria inayoweka limit ya matumizi ya jina kwenye landmarks za kitaifa.

Halafu majina hayo yasibadilishwe kiholela; kwa mfano wa Uwanja wa ndege wa Houstona ulikuwa unaitwa Kennedy Intentional Airport (kwa heshima ya JFK), lakini baadaye kwa sababu za kisiasa kwa madai ya kujiweka tofauti na JFK International Airport ya New York, ulibadilishwa kinyeji tu kwa kufuta jina la Kennedy hadi baadaye wakauita George HW Bush International Airport.

Kuwa na sheria nzuri inayosimamia majina ya landmarks kutazuia mitarafuku ya aina hiyo.
Absoutely hatuwezi kuendelea kwa staili hii tuliyonayo.
 
Kwa sasa Dar unaweza kutoka Chuo cha Nyerere, ukapanda daraja la Nyerere, ukaenda kwenye ukumbi wa mikutano wa Nyerere, ukamaliza mikutano ukapitia barabara ya Nyerere, mpaka Uwanja wa ndege wa Nyerere, ukapaa kwenye ndege kwenda Mwanza.

Na huko Mwanza, utakutana na barabara ya Nyerere!
 
Uwanja wa mpira arusha unaitwa karume
Uwanja ule unaoitwa Amri Abeid pale Arusha ni kwa heshima ya Amri Abeid Kaluta ambaye alikuwa mshairi maarufu sana Tanzania, jina hilo halina uhusiano na Karume. Hata Dar es Salaama kulikuwa na mtaa wa Kaluta kwa sababu hiyo hiyo iwapo haujabadilishwa; ni kama ambavyo Shaaban Robert alivyoenziwa kwa jina la shule ya sekondari pamoja na barabara mojawapo hapo Dar.
 
  • Thanks
Reactions: T11
Wakati Nyerere akiwa hai alikuwa hapendi jina lake kutumika katika landmarks mbalimbali. Uwanja wa Nelson Mandela kule Sumbawanga ulikuwa umejengwa kama uwanja wa Nyerere lakini alipokwenda kuufungua akaubadilisha jina na kuuita Nelson Mandela. Siku za hivi karibuni kumekuwa na landmarks nyingi sana zilizopewa majina ya Nyerere lakini naona kama kuna viongozi wanaosahauliwa kabisa.

Karume (Muasisi wa Zanzibar ya leo) zaidi ya kuwa na ule uwanja wa Karume ambao zamani ulikuwa uwanja wa Ilala, na mitaa midogomidogo na shule za msingi huko mikoani, sidhani kama kuna landamark kubwa ya kumuenzi. Kwa vile huyu alikuwa baharia, ningeshauri mojawapo ya bandari zetu iitwe Bandari ya Karume

Aboud Jumbe (huyu alikuwa makamu wa rais effective sana ila alikosea kidogo tu) hana landamark yoyote ya kumkumbuka. kwa vile yeye alitumia sehemu kubwa sana ya maisha yake Kigamboni, ningeshauri lile jimbo la kigamboni liitwe Kwa Jumbe

Mwinyi (Rais wa ruksa) amewekwa kwenye barabara ile iliyokuwa ikiitwa Bagamoyo road, na labda uwanja wa mpira wa mkoa wa Tabora tu. Hizo landmarks siyo kubwa sana kwa hadhi yake, na hivyo ningeshauri aongezewe kwenye list. Kwa vile yeye alihimiza sana biashara kwa kutumia falsafa ya Ruksa, ningeshauri jengo la wizara inayohusika na biashara hapo Dodoma liitwe Mwinyi House.

Angalu jina la Mkapa liko kwenye landamark kubwa mbili- daraja kubwa sana la Rufiji na stadium kubwa sana Tanzania; hakuna ulazima wa kuongeza landmark nyingine kwa jina la Mkapa.

Kikwete anaenziwa labda na taasisi ya Moyo ya Kikwete hapo Muhimbili, lakini nadhani anastahili kueziwa zaidi hasa katika jithada zake za kusambaza elimu nchini chini ya sera za sekondari za kata na UDOM. Ningeshauri kile chuo Kikuu cha Dodoma alichokiasisi yeye kiitwe Kikwete University of Dodoma (KUDOM).

Halafu tuwe na sheria inayoweka limit ya kutumia jina moja kwenye major landmarks; yaani jina moja lisitumike katika landmarks kubwa zaidi ya tatu au nne hivi. Mitaa midogo midogo pamoja majina ya vitongoji na shule za msingi siyo landmarks kubwa; hivyo havitaguswa na sheria hiyo.

Mengine yataongezewa kadri muda na matukio yanavyoruhusu


Kila kiongozi awe na Landmark moja tu ili watu wengine walioipatia sifa nchi yetu na wao wapate nafasi ya kukumbukwa kupitia landmarks, mfano Nyerere ameshakuwa na Landmarks kibao hadi inachusha na kuwa kero, kuna watu wengi waliopigania uhuru wa nchi hii wamesahaukika kabisa na kadiri vizazi vipya vinavyokuja ndipo historia yao itazikwa kabisa, ni landmarks tu zinazoweza kutumika angalau kuhifadhi historia zao basi ifanywe hivi; "one prominent person one landmark" (OPPOL), ili na wengine pia wapate heshima ya kukumbukwa.
 
Wakati Nyerere akiwa hai alikuwa hapendi jina lake kutumika katika landmarks mbalimbali. Uwanja wa Nelson Mandela kule Sumbawanga ulikuwa umejengwa kama uwanja wa Nyerere lakini alipokwenda kuufungua akaubadilisha jina na kuuita Nelson Mandela. Siku za hivi karibuni kumekuwa na landmarks nyingi sana zilizopewa majina ya Nyerere lakini naona kama kuna viongozi wanaosahauliwa kabisa.

Karume (Muasisi wa Zanzibar ya leo) zaidi ya kuwa na ule uwanja wa Karume ambao zamani ulikuwa uwanja wa Ilala, na mitaa midogomidogo na shule za msingi huko mikoani, sidhani kama kuna landamark kubwa ya kumuenzi. Kwa vile huyu alikuwa baharia, ningeshauri mojawapo ya bandari zetu iitwe Bandari ya Karume

Aboud Jumbe (huyu alikuwa makamu wa rais effective sana ila alikosea kidogo tu) hana landamark yoyote ya kumkumbuka. kwa vile yeye alitumia sehemu kubwa sana ya maisha yake Kigamboni, ningeshauri lile jimbo la kigamboni liitwe Kwa Jumbe

Mwinyi (Rais wa ruksa) amewekwa kwenye barabara ile iliyokuwa ikiitwa Bagamoyo road, na labda uwanja wa mpira wa mkoa wa Tabora tu. Hizo landmarks siyo kubwa sana kwa hadhi yake, na hivyo ningeshauri aongezewe kwenye list. Kwa vile yeye alihimiza sana biashara kwa kutumia falsafa ya Ruksa, ningeshauri jengo la wizara inayohusika na biashara hapo Dodoma liitwe Mwinyi House.

Angalu jina la Mkapa liko kwenye landamark kubwa mbili- daraja kubwa sana la Rufiji na stadium kubwa sana Tanzania; hakuna ulazima wa kuongeza landmark nyingine kwa jina la Mkapa.

Kikwete anaenziwa labda na taasisi ya Moyo ya Kikwete hapo Muhimbili, lakini nadhani anastahili kueziwa zaidi hasa katika jithada zake za kusambaza elimu nchini chini ya sera za sekondari za kata na UDOM. Ningeshauri kile chuo Kikuu cha Dodoma alichokiasisi yeye kiitwe Kikwete University of Dodoma (KUDOM).

Halafu tuwe na sheria inayoweka limit ya kutumia jina moja kwenye major landmarks; yaani jina moja lisitumike katika landmarks kubwa zaidi ya tatu au nne hivi. Mitaa midogo midogo pamoja majina ya vitongoji na shule za msingi siyo landmarks kubwa; hivyo havitaguswa na sheria hiyo.

Mengine yataongezewa kadri muda na matukio yanavyoruhusu

Kikwete University of Dodoma (KUDOM) is illogical. Labda utuambie kama kuna Kikwete University mahali pengine, e.g., Mtwara, Tabora, Kagera au mahali pengine!
 
Kikwete University of Dodoma (KUDOM) is illogical. Labda utuambie kama kuna Kikwete University mahali pengine, e.g., Mtwara, Tabora, Kagera au mahali pengine!
Is it illogical or it does not sound good. The logic of naming any institution using names of living or dead persons is common all over the world, so calling it illogical does not make sense. Look at these: George Washington University, Sokoine University of Agriculture, James Madison University, Moi University, Kenyatta University, Yale University, Stanford Unievrsity, and the list goes on!

Probably I could have suggested calling it "Kikwete University at Dodoma" instead of "of Dodoma", but still it is to do with honoring him as the founder of that institution; and it is open for discussion.
 
Is it illogical or it does not sound good. The logic of naming any institution using names of living or dead persons is common all over the world, so calling it illogical does not make sense. Look at these: George Washington University, Sokoine University of Agriculture, James Madison University, Moi University, Kenyatta University, Yale University, Stanford Unievrsity, and the list goes on!

Probably I could have suggested calling it "Kikwete University at Dodoma" instead of "of Dodoma", but still it is to do with honoring him as the founder of that institution; and it is open for discussion.

I think you missed my point. Naming a learning institution after someone isn’t the issue here. All the examples of university names you cited don’t contain the flaw that exists in the “Kikwete University of Dodoma”. A name such as University of XYZ at ——- is usually used by universities that are an integral part of a university system with multiple autonomous universities. A solitary university such as UDOM is not appropriate for such naming style!
 
Maskini Aboud Jumbe...lkn naskia km aliwahi kutoa wasia mkali sana unaomuharamisha yeye kuenziwa kisiasa.
 
Back
Top Bottom