Laki nne inatosha kufungua duka la vipodozi?

Msaada wa mawazo Niko na laki nne nataka kufanya biashara ya kufungua duka la cosmet. Je, naweza kufungua? Kam haiwezekani ni biashara gani naeza kufanya kwa huo mtajiii ...........?

Nipo Mwanza
Itatosha kwa kuanzia kama
Tayari una fremu na umeshalipia kodi walau miezi mitatu
Tayari una vibali
Tayari fremu ina makabati na miundombinu mingine imayoendana na hiyo biashara
Matumizi binafsi hayatatoka hapo
Mzigo wa kuanzia haupo mbali
 
Itatosha kwa kuanzia kama
Tayari una fremu na umeshalipia kodi walau miezi mitatu
Tayari una vibali
Tayari fremu ina makabati na miundombinu mingine imayoendana na hiyo biashara
Matumizi binafsi hayatatoka hapo
Mzigo wa kuanzia haupo mbali
Uwiii.....msaaada wa biashara ganii inatosha Ii pesa

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Msaada wa mawazo Niko na laki nne nataka kufanya biashara ya kufungua duka la cosmet. Je, naweza kufungua? Kam haiwezekani ni biashara gani naeza kufanya kwa huo mtajiii ...........?

Nipo Mwanza
Aisee.....

Hujalipia pango, etc....

Okay tuseme umelipia pango ukaanza, utafunga hio biashara ndani ya miezi minne au sita sababu faida ya vipodozi huwa ndgndg sana haitotosha wewe kuendelea kulipa hizo kodi.

Kabeti kwa 20,000 mara 20 unaweza bahatisha mkeka mmoja wa 5M.

Au kanywe pombe hio hela na ufanyie starehe ili baadae ujichukie na upate hasira ya kutafuta zaidi itakayotosha kwa mtaji
 
Aisee.....

Hujalipia pango, etc....

Okay tuseme umelipia pango ukaanza, utafunga hio biashara ndani ya miezi minne au sita sababu faida ya vipodozi huwa ndgndg sana haitotosha wewe kuendelea kulipa hizo kodi.

Kabeti kwa 20,000 mara 20 unaweza bahatisha mkeka mmoja wa 5M.

Au kanywe pombe hio hela na ufanyie starehe ili baadae ujichukie na upate hasira ya kutafuta zaidi itakayotosha kwa mtaji
Nyie

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Kama huna kila kitu, hiyo haitoshi.. labda uanze biashara ya kukopesha kama (kama una roho ngumu) watangazie mabest wako kuwa unafanya biashara ya kukopesha, wanakupa listi ya vitu wanavyohitaji unaemda kuwanunulia kisha unakuja kukopesha kwa muda fulani.

Ama agiza nguo za mtumba, uuze mtaani na mtandaoni.

Agizq gunia kadhaa za mkaa uuze, kama una sehemu ya kuhifadhia.(kakibanda.)
 
Back
Top Bottom