Laiti ningekua mwanaume...

Laiti ningekua mwanaume...

Habari zenu wakuu,

Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.

Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.

Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.

Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.

Please badilikeni kaka zangu

We utakuwa mnyiramba....!
 
Habari zenu wakuu,

Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.

Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.

Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.

Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.

Please badilikeni kaka zangu
Ukimchunguza Bata huwezi kumla!
 
MNANSO unaonekana una busara sana na kwa kweli nimekupenda ghafla
Naomba namba yako chemba pls nikupigie
Nipo Kajunjumele-Kyela Vijijini!
 
Last edited by a moderator:
hahaha, na somo lote hili bado tuu hujaelewa ndugu yangu. Tulia na ufanye assessments kwa faida yako. All the best

Nipe namba uwe "TWAWEZA"yangu tafadhali,then baadae utoe cumulative poll kama nafaa au la
 
Habari zenu wakuu,

Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.

Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.

Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.

Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.

Please badilikeni kaka zangu

Nanyi dada zetu mbadilike pia, kama unajua mwanaume hafanyi maamuzi sasa kukutongoza kwa nini unamkubalia na baadae unaishia kumuumiza?
 
unalalamika nini sasa wakati ndo mnapenda kuvuliwa chupi na kuachwa,maana punda haendi bila mijeredi
 
ndo maana majanga daily aisee

Kuna msimamo nilijiwekea nilipokuwa ktk harakati za ukuaji.
1. Usikubali kila uambiwalo
2. Usiwe mgumu kukubali.

Hivyo kumbe pande zote zinapaswa kuweka uwiano wa kukubaliana ama kukataa.
Tangu kale waliposema mapenzi ni upofu, dawa bado kupatikana. Jifunze kuwa na subira ktk mahusiano ili uweze kupunguza hangover zake.
 
Aah wapijaribu kuwa Mwanaume uone tunayokutana nayo, Ungekimbia.
Mambo siyo rahisi kiivyo,
Wanaume wakisema wabaki kuwa waaminifu kwa mwanamke mmoja, kuna familia zitakwama.
Kila jambo lina faida na hasara take it from me
 
wanawake bwana ndo wanaumizwa daily. Kila nayekutana nae kaumizwa. Tena wengine wanaambiwa live kua sikukuchunguza vizuri nilipokufuata bora kila mtu kivyake.moyo wa mdada mara nyingi ni weak sana pale anapofuatwa na kaka mwenye vigezo vyote avipendavyo dada na ndio maana wadada wengine nao wanakurupuka kukubali. Nyie ndio mtusaidie kwa kufanya assessments ili mkija muwe full

unaweza ukamfanyia assesment huyo msichana ukaona anafaa swali ni je yeye kama anaona hufai huoni bado mahusiano hayo hayatakua imara?
 
Kitu ambacho inabidi uelewe ni kwamba ninyi wanawake tunawaona wa ajabu pia. Mkipendwa sana na mtu akawajali huwa hamna appreciation. Unaweza kuta mnaaza vizuri na mwanamke na akishazoea treatment yako nzuri unayompa hata heshima inapungua na kupitiliza. Hii hupelekea wanaume kukata tamaa na kuwatema. Hili tatizo liko kwa wanawake wengi labda niseme 9 kati ya 10. Wanaume ambao wamekuwa wakatili ndio wanadumu kwenye ndoa. Mi hapo huwa inanishangaza kwamba labda hiyo ndo njia ya kukaa ma mke.

PARADIGM u nailed it! Sijui wapoje hawa watu...Wanaclaim wanataka tamu ukiwapa tamu wanakinai wanaanza pozi,ukiwapa chungu wanalalamika tena oh..we hujali! mi siwaelewagi hawa watu sema ku deal nao kikatili ndio mpango,huwa hawasumbuagi tena...
 
Last edited by a moderator:
Dear Wisher.
You might walk a mile in a man's shoes, but you won't be able to understand the inner man's blues. So let a man be. 'steada worrying about what a man should do, worry about what you should do. It's everybody's responsibility to make the world a better place for everybody, don't just put it all on us. Sincerely.
A man.

Agreed...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom