Laiti ningekua mwanaume...

Laiti ningekua mwanaume...

najivunia sana tena sana. Swali langu kwanini unifuate wakati hujafanya maamuzi sahihi. Jipime nipime ndio unifuate na sio kufanya maamuzi ya harakaharaka kunifuata

utakua ndo unabalehe ngoja utoke kweny usichana ufike kweny uwana mke
 
assessments zinafanywa kwa wote but nachotaka ni usinifuate kama bado hujanifanyia assessments

Nasisi tunataka msitukubali kama hamjafanya assessment..
NB: Mara zote, ssessment anazofanya mwanaume ni ku establish chances za kutafuna, na wala si assessment za kujua kama hiyo ndoa "ilifungwa mbinguni"
 
hakuna lolote dawa yao hao ni kuwadyudyu tu cz ucombe umwoneshe demu unampenda loi dunia utaiona upside down mara uongee peke yako njiani tena akishajua unampenda ndo mama yangu unaweza hama mtaa niulizeni yaliyonikuta unafikiri ntarudia ule upuuzi kamwe.Ila wao wakitendwa wavyotia huruma utafikiri wagonjwa vile.
 
hahahaha simple sana boy asikufuate kama hajafanya assessment na hata akikufuata na we maamuzi yataendana na assessment uliyoifanya but cdhani kama kuzuia kutoa mamb flan mnaweza.
 
Dear Wisher.
You might walk a mile in a man's shoes, but you won't be able to understand the inner man's blues. So let a man be. 'steada worrying about what a man should do, worry about what you should do. It's everybody's responsibility to make the world a better place for everybody, don't just put it all on us. Sincerely.
A man.
 
Bora hujawa mwanaume coz ungekua dume bas ungekua shoga maana mwanaume rijali hawezi kufanya utumbo huo kwa ampendae

wanawake drama nyingii
 
Hamtaacha kumegwa maana huwezi kumjua nani ni nani... Ukimkataa huyu eti kisa hajafanya assessment anaenda kumsimulia mwenzake, nae anakuja kwa gia ya assessment za kutosha... Kwisha habari yako
 
Wanaume tuko kinyume na ulichoandika hapo, ukimuona mwanaume yuko hivyo ulivyoandika ujue anazuga tu. HATUNA MUDA WA ASSESSMENT. Kama nawe ungekuwa mwanaume UNGEENDANA NA UANAUME NA SIO kama ulivyosema laiti ungekuwa mwanaume.
 
Hamtaacha kumegwa maana huwezi kumjua nani ni nani... Ukimkataa huyu eti kisa hajafanya assessment anaenda kumsimulia mwenzake, nae anakuja kwa gia ya assessment za kutosha... Kwisha habari yako
safi, umempa ukweli!
 
hata wanawake tunayo mengi tunayoyakosea na kusababisha maumivu kwa wakaka but today ni hayo tuu kwa kaka zetu. Msikurupuke kisa umeona shape. Itakucost one day kama ndo mtu wa kutamani tuu

Ukitaka kusema baya la mwenzako kwanza anza na la kwako,kama huwezi sema lako usiseme la mwenzako
 
My darlin MNANSO, siku zote kwenye maisha jifunze kusimama kwenye sehemu yako. This 50/50 myth will never make things better for you, Iwe kwenye dating au marriage. Learn to give your all kwa kile ulichonacho. .. of coz bila kuangalia mwenzako ana contribution kiasi gani, just keep it 100% . It begins with you

Unahitaji mchumba just omba kadri uwezavyo. Kwa sababu hujui huyo mchumba wako yupo wapi na hujui kama anaomba au vipi. The poor idiot might be stuck somewhere na ni maombi yako tu ndo yatakayomkurupusha huko aliko. But ukilegea na maombi, basi mchumba ataendelea kustuck tu huko huko alipo. Na kwa maombi yako basi hata akija mtu ambaye si sahihi kwako, itakuwa rahisi kumgundua

Kukukumbushia tu, mke ndiye anayebeba kusudi la mume wake. Just give your all ili mume wako atimize kusudi ambalo Mungu ameliweka ndani yake. Ndoa/Mahusiano ambayo mwanamke amesimama, mengi yanafanikiwa. Beba mzigo kwa ajili ya uchumba/ndoa yenu na utaona Mungu atakavyojidhihirisha kwenu
 
Last edited by a moderator:
My darlin MNANSO, siku zote kwenye maisha jifunze kusimama kwenye sehemu yako. This 50/50 myth will never make things better for you, Iwe kwenye dating au marriage. Learn to give your all kwa kile ulichonacho. .. of coz bila kuangalia mwenzako ana contribution kiasi gani, just keep it 100% . It begins with you

Unahitaji mchumba just omba kadri uwezavyo. Kwa sababu hujui huyo mchumba wako yupo wapi na hujui kama anaomba au vipi. The poor idiot might be stuck somewhere na ni maombi yako tu ndo yatakayomkurupusha huko aliko. But ukilegea na maombi, basi mchumba ataendelea kustuck tu huko huko alipo. Na kwa maombi yako basi hata akija mtu ambaye si sahihi kwako, itakuwa rahisi kumgundua

Kukukumbushia tu, mke ndiye anayebeba kusudi la mume wake. Just give your all ili mume wako atimize kusudi ambalo Mungu ameliweka ndani yake. Ndoa/Mahusiano ambayo mwanamke amesimama, mengi yanafanikiwa. Beba mzigo kwa ajili ya uchumba/ndoa yenu na utaona Mungu atakavyojidhihirisha kwenu

And they wonder how I got a thing for you, smh! Who wouldn't?! It's high time you met my kin-folks, and soon have my name in yours.
 
Habari zenu wakuu,

Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.

Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.

Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.

Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.

Please badilikeni kaka zangu
Tatizo nyie hamuelewi,hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja,pia mwanaume anaweza kupenda wanawake wengi kwa wakati mmoja.Refer Nabii Solomon,Daud tatizo nyie wa siku hizi mnataka upendwe peke yako tuu
 
na nitawafundisha watoto wangu wa kiume wasiwe na tabia mbaya ya kukurupuka na kuumiza mabinti za watu

Ha ha nakutakia kila la heri uwafundishe. Vidyudyu vyao vikisimama unavilaza kwanguvu sawaa eeh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom