Laiti ningekua mwanaume...

Laiti ningekua mwanaume...

ni kweli kila mtu ana tabia yake ndio maana tunatakiwa kufanya assessments, je kwa tabia hizi nitaweza kumvumilia?

hakuna asiye weza kubadilika! ww ndio wa kumfanya unavyotaka awe unavyotaka!
 
Habari zenu wakuu,

Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.

Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.

Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.

Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.

Please badilikeni kaka zangu

Upo sawa kwa kiasi kikubwa mpendwa, Mungu akuzidishie hekima kuwashauri na wengine.
 
Amina mama mchungaji...
Yaaani umeongea kikungwi



My darlin MNANSO, siku zote kwenye maisha jifunze kusimama kwenye sehemu yako. This 50/50 myth will never make things better for you, Iwe kwenye dating au marriage. Learn to give your all kwa kile ulichonacho. .. of coz bila kuangalia mwenzako ana contribution kiasi gani, just keep it 100% . It begins with you

Unahitaji mchumba just omba kadri uwezavyo. Kwa sababu hujui huyo mchumba wako yupo wapi na hujui kama anaomba au vipi. The poor idiot might be stuck somewhere na ni maombi yako tu ndo yatakayomkurupusha huko aliko. But ukilegea na maombi, basi mchumba ataendelea kustuck tu huko huko alipo. Na kwa maombi yako basi hata akija mtu ambaye si sahihi kwako, itakuwa rahisi kumgundua

Kukukumbushia tu, mke ndiye anayebeba kusudi la mume wake. Just give your all ili mume wako atimize kusudi ambalo Mungu ameliweka ndani yake. Ndoa/Mahusiano ambayo mwanamke amesimama, mengi yanafanikiwa. Beba mzigo kwa ajili ya uchumba/ndoa yenu na utaona Mungu atakavyojidhihirisha kwenu
 
Last edited by a moderator:
And they wonder how I got a thing for you, smh! Who wouldn't?! It's high time you met my kin-folks, and soon have my name in yours.
It's every imperfect girl's dream to have her other half like you. Can't thank heavens enough for this eternal favor of being your girl.. The heavens has truly blessed me with you darlin
 
ungekua mwanaume ungekua shoga hahahahahahhahahahahahhahhahahahahahaha😎
 
OMG am in love with JF loooool wanaume tunapitia kwenye majaribu hebu fikiri tunaishi maisha kama vile wafika kwenye bufee vyakula ni vingi alaf vyote ni vizuri loooooooool mostly tunadata kwenye kuchagua aisee kuwa mwanaume ni kaz acha kabisa kubeba KICHINJIO sio thamana ndogo ..........
 
And they wonder how I got a thing for you, smh! Who wouldn't?! It's high time you met my kin-folks, and soon have my name in yours.
It's every imperfect girl's dream to have her other half like you. Can't thank heavens enough for this eternal favor of being your girl.. The heavens has truly blessed me with you darlin
Nyie ni wapenzi? Mbona kama mnatongozana vile?? Mshafanyiana assessment za kutosha each other?
 
kwa kipi labda cha zaidi mpaka nihangaike hivyo, wanawake wenyewe nyie mnaotaka haki Sawa au kuna wengine wamezaliwa
 
"Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi"

mleta mada unamaanisha nini hapo.
 
Habari zenu wakuu,

Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.

Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.

Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.

Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.

Please badilikeni kaka zangu

Mnanso, mpola mamtoto!
 
Kitu ambacho inabidi uelewe ni kwamba ninyi wanawake tunawaona wa ajabu pia. Mkipendwa sana na mtu akawajali huwa hamna appreciation. Unaweza kuta mnaaza vizuri na mwanamke na akishazoea treatment yako nzuri unayompa hata heshima inapungua na kupitiliza. Hii hupelekea wanaume kukata tamaa na kuwatema. Hili tatizo liko kwa wanawake wengi labda niseme 9 kati ya 10. Wanaume ambao wamekuwa wakatili ndio wanadumu kwenye ndoa. Mi hapo huwa inanishangaza kwamba labda hiyo ndo njia ya kukaa ma mke.
 
My darlin MNANSO, siku zote kwenye maisha jifunze kusimama kwenye sehemu yako. This 50/50 myth will never make things better for you, Iwe kwenye dating au marriage. Learn to give your all kwa kile ulichonacho. .. of coz bila kuangalia mwenzako ana contribution kiasi gani, just keep it 100% . It begins with you

Unahitaji mchumba just omba kadri uwezavyo. Kwa sababu hujui huyo mchumba wako yupo wapi na hujui kama anaomba au vipi. The poor idiot might be stuck somewhere na ni maombi yako tu ndo yatakayomkurupusha huko aliko. But ukilegea na maombi, basi mchumba ataendelea kustuck tu huko huko alipo. Na kwa maombi yako basi hata akija mtu ambaye si sahihi kwako, itakuwa rahisi kumgundua

Kukukumbushia tu, mke ndiye anayebeba kusudi la mume wake. Just give your all ili mume wako atimize kusudi ambalo Mungu ameliweka ndani yake. Ndoa/Mahusiano ambayo mwanamke amesimama, mengi yanafanikiwa. Beba mzigo kwa ajili ya uchumba/ndoa yenu na utaona Mungu atakavyojidhihirisha kwenu[/QUOT

Maneno mazuri sana haya. Ukiangalia ni kweli jukumu kubwa linabaki kwetu wanawake tunajukumu kusimamia nafasi zetu ili mambo yaweze kwenda....
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wakuu,

Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.

Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.

Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.

Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.

Please badilikeni kaka zangu
Humjui mwanaume... Ungemjua usingegeneralize
 
kama kuna mtu anayetakiwa kufanya utafiti wa kina kabla ya kuingia kwenye mahusiano basi ni mwanamke.....
mwanaume ye hata akikosea kuchagua anaweza kuvumilia....ila mwanamke ni shughuli pevu
 
My darlin MNANSO, siku zote kwenye maisha jifunze kusimama kwenye sehemu yako. This 50/50 myth will never make things better for you, Iwe kwenye dating au marriage. Learn to give your all kwa kile ulichonacho. .. of coz bila kuangalia mwenzako ana contribution kiasi gani, just keep it 100% . It begins with you

Unahitaji mchumba just omba kadri uwezavyo. Kwa sababu hujui huyo mchumba wako yupo wapi na hujui kama anaomba au vipi. The poor idiot might be stuck somewhere na ni maombi yako tu ndo yatakayomkurupusha huko aliko. But ukilegea na maombi, basi mchumba ataendelea kustuck tu huko huko alipo. Na kwa maombi yako basi hata akija mtu ambaye si sahihi kwako, itakuwa rahisi kumgundua

Kukukumbushia tu, mke ndiye anayebeba kusudi la mume wake. Just give your all ili mume wako atimize kusudi ambalo Mungu ameliweka ndani yake. Ndoa/Mahusiano ambayo mwanamke amesimama, mengi yanafanikiwa. Beba mzigo kwa ajili ya uchumba/ndoa yenu na utaona Mungu atakavyojidhihirisha kwenu[/QUOT

Maneno mazuri sana haya. Ukiangalia ni kweli jukumu kubwa linabaki kwetu wanawake tunajukumu kusimamia nafasi zetu ili mambo yaweze kwenda....
Yani mpendwa Kila nikiangalia/kusikiliza testimony za watu wengi, mara nyingi wanawake ndo huwa wanafungua vifungo vya ndoa zao. Nabaki tu kujiuliza sijui Ntaweza kuwa kama hao wanawake wa mfano. Mungu atusaidie wanawake kwa sababu hatima ya ndoa zetu ipo mikononi mwetu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom