Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Hawa watu wamesakamwa na kusemwa sana kwa sababu ya ufisadi wao! Sina nia ya kuwatetea hata kidogo lakini naangalia mambo kwa angle tofauti! Lakini endapo hawa watu wangekuwa Waislamu: Tungeambiwa na watu wenye dini zao kwamba wanasakamwa kwa sababu ya dini zao (Uislamu)! Pia tungeambiwa kuwa hii ni vita dhidi ya uislamu! Tujadili!