Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,580
- 1,622
Hii laini nimeisajli juzi lakini chakushangaza inagoma Ku connect internet, nimeweka internet settings walizonitumia tigo lakini kila nikifungua data haionekani juu ya simu nimejaribu kwenye kwenye simu nyingine kama Tecno na Samsung laini bado inagoma ila nikiweka laini nyingine ya tigo kwenye simu yangu inapiga kazi vizuri bila shida.
Nimewapigia tigo wananipiga chenga mara wanasema simu mbovu na wakati nimeweka kwenye simu nyingine bado haipandishi data mimi natumia Nokia Lumia.
Nahitaji msaada wakuu.
Nimewapigia tigo wananipiga chenga mara wanasema simu mbovu na wakati nimeweka kwenye simu nyingine bado haipandishi data mimi natumia Nokia Lumia.
Nahitaji msaada wakuu.