lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,325
habarini wana jamvi,!!! bila kupoteza muda niende kwenye maada...
Nimesajili laini mpya TTCL aina ya 4G lakini nimeset kila kitu kwenye mobile network inaandika H+ lakini baada ya dakika 4 au 5 inaandika E tena mpkaa urudi kule kwenye option ya 4G,3G,au 2G option unajaribu kucounter change 4G to 3G au 3G to 4G then back to normal 3G ndo inakubali ,lakini baada ya dk 5 inarudi tena kwenye E....how do I do now...?? make daaaah...halafu sasa cha kushangaza tena inaandika kialama cha R juu ya network...yan baada ya kuandika E inajigeuza tena inaandika R kubwa juu yake....naomba mnieleweshe nafanyaje ili niiset vizuri kwenye hii simu yangu aina ya Nokia 7 ?? ..it's urgent jamani , so that I wana use my Night park bundles right now.....!!
Nimesajili laini mpya TTCL aina ya 4G lakini nimeset kila kitu kwenye mobile network inaandika H+ lakini baada ya dakika 4 au 5 inaandika E tena mpkaa urudi kule kwenye option ya 4G,3G,au 2G option unajaribu kucounter change 4G to 3G au 3G to 4G then back to normal 3G ndo inakubali ,lakini baada ya dk 5 inarudi tena kwenye E....how do I do now...?? make daaaah...halafu sasa cha kushangaza tena inaandika kialama cha R juu ya network...yan baada ya kuandika E inajigeuza tena inaandika R kubwa juu yake....naomba mnieleweshe nafanyaje ili niiset vizuri kwenye hii simu yangu aina ya Nokia 7 ?? ..it's urgent jamani , so that I wana use my Night park bundles right now.....!!