Kabelwa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 656
- 165
Habari ndugu mimi natumia laini ya ttcl ila kuanzia juzi haisomi kwenye data ninaomba msaada anaefahamu namna ya kuiwezesha ili iweze kusoma data nimejaribu kuwasiliana na ttcl na nimefuata maelekezo yao lakini bado inaonyesha kialama cha R ukiwasha data,asante.