Laini kama supu ya mapupu

Laini kama supu ya mapupu

Mkuu ulishaambiwa wenyewe wakitajwa nchi itatikisika.
Sipatii picha mkulu mstaafu akitajwa
Kikwapa akatajwa
Si patachimbika
Jpm mwenyewe hata akiwa chooni akiitwa na Kikwapa
Atakatiza route

Let's keep watching hii movie
 
Serikali ina wakati mgumu sana maana huwezi kumkuta Drug Kingpin na unga hata chembe. Namna ya kuwakamata hawa ni kwa kuform chain of events,people,conversations ambazo huishia kuwaframe hawa maLord. CIA Agents wengi imewabidi waingie undercover kuinfiltrate,kugain trust ya hawa majamaa ili mwisho wa siku wawanase maana kupata ushahidi dhidi yao ni ngumu sana. Many CIA agents wanepoteza maisha because of this shit either kwa kuwa snitched out by other corrupt cops,au wenyewe nao wakageuka double agents baada ya kuonja fedha. Money laundering ni tatizo kubwa sana ambalo kama mianya isipozibwa kuna wauzaji hawatakamatwa kwakua evidence katu haitapoint kwao. Mfano Pablo Escobar aliwekA pesa nyingi Kwa klabu ya Soka ya Nacional huko Colombia. Watu hawa ni charitable sana,mfano yakuza hutoa misaada most times ikitokea earthquake huko Japan. Makonda aangalie maana iyo pesa ikisafishwa humgusi mtu. What I thank God ni kwamba hata kama biashara ipo but sio kwa level za Kina Sinaloa,Yakuza,Sicilian Mafia,Ndrangheta ambao mpaka wana hitmen wao,makomando na majeshi yao,Hatari zaidi ni hawa FARC wa Colombia ambao mpaka serikali inakaa nao chini kufanya makubaliano. Na hawakosi mbinu mpya,vikosi kazi mpya katika kufanikisha kazi zao. Thank God bongo hamna makingpin ambao wameweza kuwa na social influence kama kina chapo escobar,griselda blanco ambao walikua wanachukuliwa kama heroes katika neighborhoods na jamii zao. Lastly pleAse over pleAse naomba vita hii isitumike kama silaha ya kuua upinzani maaana kwa naming ya namna hii,damage itakayotokea kwa jina la mtajwa ni kubwa sana. The American War on Drugs has claimed lots of lives and it still does,innocent lives included. I hope bongo tusifike huko,though I know it wont be smooth.
 
Sipatii picha mkulu mstaafu akitajwa
Kikwapa akatajwa
Si patachimbika
Jpm mwenyewe hata akiwa chooni akiitwa na Kikwapa
Atakatiza route

Let's keep watching hii movie
Mkuu tuombe Mungu, hili ni janga na jeshi pia linaweza kugawanyika.
 
Hii vita ya mkuu wa mkoa sidhani km itakuwa endelevu ingawa amefanya jambo jema


Nadhani angeunda kitengo maalum kushughulikia hili suala kwa muda mrefu
 
Hii vita ya mkuu wa mkoa sidhani km itakuwa endelevu ingawa amefanya jambo jema


Nadhani angeunda kitengo maalum kushughulikia hili suala kwa muda mrefu
Ingawa list mpya inatumia matumaini kuliko ile ya kina TID na Wema lakini ninachojiuliza ni kuwa operations ngapi za mkuu wa mkoa zinaishia hewani, ile ya shishi ilishia wapi.
 
Alafu sisi watanzania tuna mambo ya ajabu sana, kila kukicha tunajitahidi kuleta taarifa za kutishia kila anayeonesha dhamira ya kutaka kujaribu kupingana na madawa ya kulevya, tunavunjana moyo sana watanzania.
Kila kinachofanyika linaibuka tabaka la watu kudai hicho sio, flani anaonewa.

Utasikia kuna siasa ndani yake.

Ivi jamani tunataka nini hasa?

Mnatishia kuhusu ukubwa wa mtandao, mnatishia kuhusu gharama, eti mnajilinganisha na nchi ya Marekani katika ishu ya madawa ya kulevya huu ni utoto Mkubwa.

Sisi hata iweje biashara za madawa ya kulevya hapa kwetu haziwezi kufikia hata nusu ya kiwango cha madawa ya kulevya huko USA.

Kwa sasa kila anayeonekana kuunga mkono kinachoendelea kuhusu dawa za kulevya utasikia ni ccm huyo!

Sio kila mtu ni mwanasiasa, kuna watu hata habari za siasa hawataki kuzisikia hata vitambulisho vya kupigia kura walishagoma kujiandikisha.

Wapinzani nao wanaamini kazi yao ni kupinga kila kinachofanywa na serikali.
 
Back
Top Bottom