Laini kama supu ya mapupu

Laini kama supu ya mapupu

Wabongo Sijui tukoje. Hii ni tanzania na Sio Mexico. Tusipende kujifananisha na vitu visivyotuhusu. Tanzania na Mexico ni vitu viwili tofauti kabisa. Ndio maana bongo tunachelewa sana.
jamaa kaanzisha kitu kizuri ila hana au hajui mbinu na tahadhari. ingekuwa Mexico hao mateja tungekuta miili yao imetawanywa mji mzima. siyo busara kupiga nao picha. Mexico askari ambao huenda kukamata wauzaji hujiziba kabisa sura.
img-20170205-wa0012-jpg.468292
 
Wabongo Sijui tukoje. Hii ni tanzania na Sio Mexico. Tusipende kujifananisha na vitu visivyotuhusu. Tanzania na Mexico ni vitu viwili tofauti kabisa. Ndio maana bongo tunachelewa sana.
Hivi hawa baada ya picha hii walifaidikaje?
 
Kichekesho kilichokosa viwango; linasikika tangazo la mamlaka za nchi likiwataka watu wote wanaojihusisha(tuhuma) na biashara ya madawa ya kulevya kujisalimisha polisi wenyewe...kisha wanatajwa kwa majina nao kwa muda uliopangwa wanajikwatua hasa kama wanaenda kwenye sherehe muhimu, kisha media zote zinaarifiriwa (na walengwa?) Kwamba sasa mimi fulani naelekea police kwa madaha na mapozi yote...nahakikisha kila hatua yangu inanaswa vema na kamera za waandishi kweli hii inapaswa kuingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia
 

Huyu si mtu ni mapupu
 
Back
Top Bottom