Laini kama supu ya mapupu

Laini kama supu ya mapupu

Mkuu ndege john alichokisema ni wakati mwengine sheria ipindishwe for emergency{wote tumeona sheria zimepindishwa na magufuli kaamuru ndege zinunuliwe bila bunge kuidhinisha budget yake,huyo alotaja wauza madawa kakarabati office yake kwa mill400 na mengineyo}je nikusema kwamba ununuzi wa ndege na ukarabati wa makabati ni muhimu sana kuliko hawa vijana wanaoteketea?hizi zote ni siasa tena siasa za kitoto huwezi kitu sensitive kama hiki ukakifanyia mzaha kama unawataja mbuzi!!!case zitaenda mahakamani or wataitwa watenda kusikilizwa mara hawana hatia wanarudi mitaani na kuidai serikali fidia,yaani inatengenezwa cycle moja matata sana itakayokuja kutugharimu sisi maskini tunaolipa kodi kwa kuwafidia hawa watu ilhal vijana wataendelea kuharibika na cocaine/heroine coz wale wahusika hasa hawajakamatwa!
Coz wale wahusika hasa hawajakamatwa
2014-07-15inmate.jpg
 
Sasa sijui wanataka ushahidi gani tena hawa wanasiasa!!!yani hapo ktk hii barua pana wawili tu ktk list iloyosomwa leo...what a shame,tena kachagua wale wachovu wa tandale ila wengine wote wanadunda mitaani.
Mwenye pesa hafungwi
 
Naamini Serikali pamoja na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vimejipanga kikamilifu ktk kufanikisha vita hii haswa ya wauza madawa ya kulevya.

Ninaamini Serikali ina mkono mrefu, na bila shaka imedhamiria kupambana na yeyote yule!

Sitaki kuamini kama Serikali inajaribu au inabahatisha ktk mapambano haya.
Itakuwa ni jambo la fedhehe mno kama Serikali itaonekana imekurupuka, la hasha!!!

Lazima mtandao wa wauza dawa za kulevya ktk nchi yetu usambaratishwe kwa gharama yoyote ile!! Hakuna mbadala ktk hilo
 
Hivi mshana tu assume magufuli aamrishe jeshi mfano LA jwtz liingie mitaani na kukamata Hawa vinara wakubwa waliotajwa na kikwete Hawa vigogo wanaofahamika na kisha wawekwe chini ya Ulinzi mkali.. Halafu tusubiri baada ya mwezi tuone km hii biashara itakuwa inapumua.. Mi naona kama Kwa tanzania vita hii sio ngumu sana Kwa sababu hawana silaha nzito kushinda jeshi. Naona kabisa kama siasa ikiwekwa kando. Busara ikiwekwa kando. Sheria ikiwekwa kando basi tutafanikiwa Kwa wepesi hayo ni maoni yangu Lakini sijui kama Nipo sahihi nachokiamini. Mapolice na Wakuu wa vyombo vya usalama wakiwekwa pembeni kwenye hii vita basi tumeshinda kweupe
mkuu kwa mimi ninavyoona vita haitowezekana maana nnavyihisi mimi ata hii mi papa tunayozani kwa hapa kwetu ni mi papa ya kutisha na yenyewe ina mipapa yao uko duniani...sasa wewe unazani mipapa ya hapa ikisambaratishwa...ikija hiyo mipapa ya uko...vita yake tutaiweza?
 
mkuu kwa mimi ninavyoona vita haitowezekana maana nnavyihisi mimi ata hii mi papa tunayozani kwa hapa kwetu ni mi papa ya kutisha na yenyewe ina mipapa yao uko duniani...sasa wewe unazani mipapa ya hapa ikisambaratishwa...ikija hiyo mipapa ya uko...vita yake tutaiweza?
Okay Sasa nini kifanyike ili tuweze angalau kupunguza hata nusu ya madawa haya?
 
Back
Top Bottom