Lady JayDee ni zaidi ya Whitney!

mimi nakubaliana na jd asilimia mia kwa mia kabisa kuwa yeye yuko juu zaidi kwa ubaya..maana inawezekana hakufafanua pale..lady jay dee ni mbaya kwa sura ukimlinganisha na whitney..kwenye mshiko ndo wala hamsogelei whitney na kuimba ndo daa..mi siwezi lipa hela zangu nikamsikilize takataka ka lady jay dee...kutwa kuimba wanaume waliomtosa..hajui kuwa atoswa kwa ubaya wa sura ile.
nawasilisha.
 
JD hana mziki wowote wa maana, kinachomsaidia ni kujitangaza sana kwenye vyombo vya habari na kua promoted vyema kwa ubavu wa mume wake. Manufaa pia anayaona kwa vile mumewe ndio manager wake. Tofauti na wanamuziki wengine ambao kazi zao nzuri ninamalizwa na mameneja matapeli wa kitanzania ambao wanatumia majasho ya wasanii bila huruma.
Zamani JD alikua na nyimbo chache nzuri, sasa hivi hana kitu. Anajikongoja tu. Acha Whitney, huwezi kumuweka kundi moja hata na mtu kama Angelique Kidjo.
 

Daah hata afanye show yake Bure sidhani kama atajaza kushinda Whitney...unless labda iwe kwamba wale watu wote waliokulia katika kipindi Whitney anasumbua dunia, waliopata wake nawaume kutokana na nyimbo za Whitney...na wngineo wasiwepo tena hapa duniani.... Personally I am the very few ambao waliweka goals za kuhudhuria concert moja ya Whitney sasa sijui ni lini hii itawa sawa!
 
Hapo ndio Bado bangi bongo haija halalalishwa " .... je ikitokea ikahalalishwa hali itakuwaje ....!!?

Hahahaa jayde na Whitney ... hiki kitakuwa ni kichekesho cha karne aisee" ... Jayde hata ciara .fantasia barino . Jenifer Hudson bado hajawafikia ...hata kwa chembe ya ulezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh.
 
Baahahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha ha Mwamba ngoma....., watu wengine wanakufuru kweli!!!! Hivi huyu anaweza kujifananisha na Whitney kweli? Hata Whitney katika miaka ya hivi karibuni pamoja na kutumia unga bado ni mkali mara 100 kuliko huyo Jaydee.
Nchi yetu ina maajabu sana, hata vichwa vya train huokotwa bandarini.
 
Reactions: BAK

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…