Van Walter
Senior Member
- Jun 16, 2009
- 171
- 12
mimi nakubaliana na jd asilimia mia kwa mia kabisa kuwa yeye yuko juu zaidi kwa ubaya..maana inawezekana hakufafanua pale..lady jay dee ni mbaya kwa sura ukimlinganisha na whitney..kwenye mshiko ndo wala hamsogelei whitney na kuimba ndo daa..mi siwezi lipa hela zangu nikamsikilize takataka ka lady jay dee...kutwa kuimba wanaume waliomtosa..hajui kuwa atoswa kwa ubaya wa sura ile.
nawasilisha.
nawasilisha.