somo limeeleweka sasa, eti zzk alikwenda au?
duuuuuuuuuuuuu jf raha sana.ukiwa lonely njoo jf utapata raha na ni kama una mtu unayeongea nae!i love it!do you love clouds? Do you love ruge? Do you love mwanafa? Do you love me?
duuuuuuuuuuuuu jf raha sana.ukiwa lonely njoo jf utapata raha na ni kama una mtu unayeongea nae!i love it!
yes sir!you are telling the truth! Keep on telling them what humanity is !who is "you all"?
To call mwanafa mwanafatuma is disrespectful. You don't need to descend to that level and expect respectful treatment in return
real ladies don't call others names. That's very unladylike. If one wants to be treated like a lady then she ought to act like one. But you can't call others disrespectful names and expect them to treat you with respect. It doesn't work like that.
Nothing happened to him as far as i know.
yes sir!you are telling the truth! Keep on telling them what humanity is !
ni jinsi unavojibu kwa point halafu mhusika anabaki hoiii.njoo tuhamie jukwaa la siasa au kwingine huku hakutufai ni shari tu watu hawaelewi?wanalaumu mambo ambayo wenyewe hawawezi kutekeleza.au umegoma kuhama na wewe?nini hasa kilichokupa raha kwenye hilo bandiko langu?
ni jinsi unavojibu kwa point halafu mhusika anabaki hoiii.njoo tuhamie jukwaa la siasa au kwingine huku hakutufai ni shari tu watu hawaelewi?wanalaumu mambo ambayo wenyewe hawawezi kutekeleza.au umegoma kuhama na wewe?
Congratulation my sister! Our god is for really!
Huko kwenye siasa hakuna mpango. Acha wapigane mabomu labda watatia akili kidogo.
Kama vipi wewe nenda. Mi niko gado hapa nakula sahani moja na hawa wakaanga sumu.
Iseee St. Paka Mweusi lete compelete vedio umetunyima uhondo
Kweli hili ni Jotohasira
CC Nyani Ngabu TANMO
Hii ni hadhira iliyohudhuria onyesho la mwanamziki lady jay dee usiku wa kuamkia leo..
Haya ni matukio ya mwanzomwanzo kabla shughuli yenyewe haijaanza..Nyumbani Lounge
Huna hoja za kujibu hoja zangu ndo maana hujazijibu. Kama unazo jibu.
And don't flatter yourself woman. You are not that bright at "preempting" others' minds (whatever you mean by that).
Hivyo, kama unaweza acha kujichekesha na jibu hoja. Kama huna sema huna, basi. Lakini siyo kujipa sifa ambazo unadhani unazo wakati huna.
hivi wewe kwa uwezo wako wa kufikiri umeon akuna hoja ya msngi umeitoa kwenye huu uzi??
kwan wewe humendi jide??
unamchukia mtu ambaye hata kumzaa hujamzaa??
huo ni ujinga wa mwisho chini ya mbingu hii manake umchukie usimchukie haina maana kwamba jua halita muwakia ama mvu haitamnyeshea, wala humwondelei oxygen wala kuwafunika wanaotaka kwend akwenye shoo zake.
so far.................
wewe si kubuyu useme siku akitaka kwenda kutambika atakosa pa kuweka maziwa
wala wewe si barabara kwamba kwasabbu humpendi basi utajizika ili akose pakupita,
wala wewe si sufuria useke kisa humpendi akitaka kukutenga jikon apike utakataa,
wala wewe si mwiko kwamba kisa humpendi basi utakataa kukoroga msosi wake jikoni.
tena jua kabiasa kwamba wewe si oxygen kwamba akitaka kupumua basi utajibadili kuwa CO ili iwe sumu afe so you will carry yourself...................
Ndiyo, kuna hoja za msingi sana ambazo wewe umeshindwa kuzijibu na umeishia kuandika viroja kama kama hivi ulivyoandika hapa. Haya, ngoja tuviangalie hivi viroja kimoja baada ya kingine.
Humendi jide ndiyo nini?
Nani namchukia? Na hata swali lako halina kichwa wala miguu. Ni kama vile unasema mtu ambaye unaweza kumchukia ni yule uliyemzaa. Jifunze kufikiri kwanza kabla hata hujauliza ili uwe unauliza maswali yenye mantiki.
Usiandike kwa jazba maana unaishia kutoeleweka!
Kiroja cha kwanza! Najua mimi siyo kibuyu wala ndonga. Huna haja ya kuniambia hilo.
Kiroja cha pili! Najua mimi si barabara. Ila mbona umeng'ang'ania sana simpendi? Wewe unampenda? Wewe unampenda MwanaFA ambaye umetumia jina la kebehi kumwita?
Kiroja cha tatu! Najua mimi si sufuria. Lakini kwa nini unaaandika vitu visivyo na uhusiano na hoja zangu. Kwa nini? Masuala ya mimi kuwa ama kutokua sufuria yana uhusiano gani na zangu za awali? Mbona unazikwepa kuzijibu?
Kiroja cha nne! Teh teh huu sasa ni wehu! Najua mimi si mwiko. Mimi ni mtu. Bibie, wapi majibu ya hoja zangu?
Kiroja cha tano! Haya bana naona huna kabisa hoja wewe maana umekomalia viroja tu. Na hapo mwisho ndo nini sasa hiyo maana yake? Au umetafsiri ule msemo wa Kiswahili wa 'utajibeba'?:heh:
Kaaz kwey kwey!