Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,522
- 98,843
Naona kuna m-bongo movie anasimangwa mubashar.
Aah wapi mengine mnaenda tofaut na mipango sababu wanawake mnajiona mko juu zaidi ya shetan....Ukiona hivo jua Mungu hakupanga muishi wote period
Weeeee usitufananishe na shetani......Mungu hapendi tuteseke ila kwa kuwa hatumshirikishi pale tunapotaka kuanza mahusiano mwisho wa siku ndo tunajikuta tunatesekaAah wapi mengine mnaenda tofaut na mipango sababu wanawake mnajiona mko juu zaidi ya shetan....
Nkuulize unahis MOLA anapenda tuteseke kwny mapenzi na tuumie?
rap beast
Hivi haujawahi kuona watu wanapendana kiasi kwamba unahisi hapa lazima wataoana na mwisho wa siku unasikia wameachana.......basi ndo ujue Mungu hakupanga wawe wote
Hayo ya kutukana huko sio ila kiukweli hata wewe kama umeoa basi jua Mungu ndo kapanga uishi na huyo mke wako......mimi naamini hivo na sijaskip swali lakoMbna swali langu umelikwepa? Nway
Kwahyo wewe kwa mtizamo wako ni kwamba kwenye mahusiano kila kitu Mungu ndo anaamua na kufanya sio? yaani binadamu ye hana makosa kabsa,kwa mtizamo huwa basi nyie ndo huwa mnaamini hata ukiwa unamtukana mumeo na kumfanyia vituko mkaja kuachana mnakuja kusema Mungu hakupanga tu....badilisheni huo mtizamo potofu.
Mapenzi ni kama maua kila siku unatakiwa umwagilie ili yaendelee kukua na kuchanua vzuri,sasa kama ulikuwa humwagilii na kuplay your part unategemea hilo ua litachanua kweli? madem wengi siku hizi hamko loyal huo ndo ukweli hata Chris Brown aliimba, yaani mnapenda sana Material things kuliko watu wakati hizi mali zinaweza kuja na kupotea easily tu, acheni hizo mambo za kumsingizia Mungu bwana,we kama ulizingua kubali tu makosa yako yaishe!
(Mungu kakupa akili na uhuru wa kufanya maamuzi yako ndo maana unaweza amua kumfata yeye au kufanya dhambi it's upto you)
Umenicopy na kunipaste mimi mkuu,l was soooooooooooooooo hurt,i dont know how to say it!naelewa ulivyonyongonyea!Haya mambo hayaaah! Wacha nizitafute tu mbumba kwanza, nilishanyanyapaliwa na mtu niliewahi kumpenda, niliempa thamani na kumjali kuliko nilivyojijali mimi mwisho wa siku nikaja kuambiwa "Unajua nini................ mimi sina future na wewe wala sikupendi tena, Tuachane tu." Nilinyong'onyea sana ila nina imani iko siku tutakutana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni ke, inabid tuzungumze vyema pmUmenicopy na kunipaste mimi mkuu,l was soooooooooooooooo hurt,i dont know how to say it!naelewa ulivyonyongonyea!
Na ukivumilia baada ya kutoka anakupiga chini ikoje hiyoIo ya patience pays nadhani wadada wangeiangalia kwa umakini na kuacha kufeel entitled na vitu (ego), inahusu sana na inalipa sana, me n mwananume ii kitu imenikuta kwa my ex.. Kila mtu anasikitika kivyake tu saiv, hatuezi hata kuliongelea ili suala japokua kua ukweli anaujua kuwa alizingua.
hahaha huyo dada nae, mi siwezi kurudi kwa ex kulia, mara mia nianze upya na mwingine, khee kuna wanawake wanajua kujitoa ufahamuDaaah alinitumiaga SMS kwenye "Siemens C25 a.k.a Twanga Pepeta" yangu akisema, "Wewe nenda kapendwe na Mama Ako, Hauna kitu hakuna mwanamke wa kuwa na wewe". Nakumbuka neno kwa neno, iliniuma saaaana sana nililia, sikula chakula, nilikonda sana, moyo uliteseka sana.
By then yuko na Sponsor mume wa mtu, dingi wa wizarani.
Nikamsihi sana anivumilie najichanga tuje tuzile na watoto wetu, akanijibu, " maisha ni mafupi, sina muda na maskini"
Leo lazima anisalimu Mara tatu kama dosage ya Paracetamol daily, hajali hata nisipojibu. Ananiomba Japo nimuajiri.
Dah hii maisha hii
Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
Wengi wenu huwa hamkubali kubeba vidhaifu ndo maana daima huwa mnajeruhiwa nani ka kwambia kwamba mungu huvitumia vionekanavyo fahari? Mungu huvitumia vidhaifuMuhudumu ongeza mbili ingine hapa, kama haukupangiwa awe wako haukupangiwa tu.
Kivipi?
io n negative thinking, kama mtu anakupenda akikupiga chini ni kuwa anakua amepagawa na hayo mafanikio na uo sio upendo wa kweli. kuvumilia mtu ni mojawapo ya upendo ambao wapenzi wanatakiwa kuwa nao, ukimtosa na mnapendana wewe n mpumbavu